iqna

IQNA

IQNA – Tukio la kisanii lilifanyika tarehe 31 Oktoba 2024, kwenye Haram ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, likiangazia mapambano ya Wapalestina dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambao unazikoloni ardhi za Palestina.
Habari ID: 3479683    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/01

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Vikosi vya utawala ghasibu wa Israel siku ya Jumatatu vilimzuia mwadhini katika Msikiti wa Al-Aqsa katika jiji la Al-Quds (Jerusalem) Mashariki inayokaliwa kwa mabavu kukamilisha.
Habari ID: 3476912    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/25