Mawaidha
IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu nchini Iran amesisitiza umuhimu wa kuwa na nia safi wakati wa kufanya amali njema.
Habari ID: 3479679 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/01
Ayatullah Jafar Sobhani
TEHRAN (IQNA) – Jamii ya wanadamu leo ina kiu ya mafundisho ya Mwenyezi Mungu ya Qur’ani Tukufu zaidi kuliko hapo awali, mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu nchini Iran amebaini.
Habari ID: 3476970 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/07