iqna

IQNA

Idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi katika mashambulizi ya kikatili yaliyofanywa na jeshi vamizi la Israel katika eneo la Shujaiyya huko Ghaza imepindukia watu 100 na zaidi ya 200 wengine kujeruhiwa.
Habari ID: 1431786    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/21