Ijumaa usiku Uturuki ilikuwa medani ya mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli kuiangusha serikali ya nchi hiyo inayoongozwa na Rais Reccep Tayyib Erdogan.
Habari ID: 3470457 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/17
Saudi Arabia na nchi kadhaa ambazo ni waungaji mkono wa wazi wa ugaidi zimeunda kile kinachodaiwa kuwa eti ni 'muungano dhidi ya ugaidi'.
Habari ID: 3464302 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/17
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kuwa malengo ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati yanatofautiana kwa daraja 180 na ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3432363 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/02
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kuondolewa vikwazo ni sehemu ya mazungumzo ya nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kundi la 5+1.
Habari ID: 3021914 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/22
Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametahadharisha kuhusu njama za adui zenye lengo za kuudhihirisha Uislamu kuwa ni tishio.
Habari ID: 1474768 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/18