WASHINGTON, DC (IQNA) - Jopo la ushauri la serikali ya Marekani limetoa shutuma kuhusu marufuku ya hivi majuzi ya Ufaransa ya wasichana wa shule kuvaa abaya, likisisitiza kwamba marufuku ya mavazi haya marefu yanayotiririka inachukuliwa kama njia ya kuwatisha Waislamu walio wachache.
Habari ID: 3477578 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/10
Idadi ya nakala za Qur'ani Tukufu zilizouzwa nchini Ufaransa baada ya mashambulizi ya kigaidi yaliyolenga ofisi za jarida la kila wiki la Charlie Hebdo lililochapisha vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume Muhammad (saw) imeongezeka kwa kiasi kikubwa.
Habari ID: 2809494 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/04