Chama tawala cha ANC nchini Afrika Kusini kimetangaza kuendeleza sera ya kuunga mkono mapambano ya Wapalestina ambao wanapigania kuikomboa ardhi yao inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 2822420 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/08