Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema Iran ilifnaya mazungmzo ya nyuklia na nchi za 5+1 ili iondolewe vikwazo na kwa hivyo hakutakuwa na mapatano baina ya pande mbili iwapo vikwazo havitaondolewa.
Habari ID: 3357685 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/03