TEHRAN (IQNA)- Kuna mpango wa kutumia 'Misikiti itembeayo' katika michezo ya Olympiki na Paralimpiki mjini Tokyo, Japan mwaka 2020 kwa lengo la kuwasahilishia Waislamu ibada.
Habari ID: 3471398 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/20
TEHRAN (IQNA)-Japan inaibuka kama nchi yenye watalii wengi Waislamu kutokana na huduma inazotoa kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu hasa chakula halali.
Habari ID: 3471228 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/23
IQNA-Mashindano ya Qur'ani ya Waislamu wa Japan yamefanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tokyo.
Habari ID: 3470778 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/03
IQNA-Maonyesho ya kwanza ya mavazi ya kike ya Kiislamu yamepangwa kufanyika tarehe 22-23 Novemba katika mji wa Tokyo, nchini Japan.
Habari ID: 3470675 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/14
IQNA-Nchini Japan kumeshuhudiwa ongezeko la vyumba maalumu kwa ajili ya Waislamu kusimamisha sala katika maeneo ya umma.
Habari ID: 3470661 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/07
Polisi huko Tokyo nchini Japan wanawafanyia ujasusi Waislamu kwa sababu ya dini yao, tokea mwaka 2008.
Habari ID: 3470498 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/06