IQNA – Katika mahojiano ya mwaka 2015, Profesa Abdulaziz Sachedina, aliyewahi kufundisha masomo ya Kiislamu katika Chuo Kikuu cha George Mason, Virginia, Marekani, alisema kuwa ujumbe wa Imam Khomeini (RA), uliotokana na Qur’ani Tukufu, ulikuwa wa kiulimwengu na uliwahusu Waislamu wote.
Habari ID: 3481617 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/05
Professor Abdulaziz Sachedina
Kila ambaye anatafakari kuhusu msingi wa kimaanawi wa uwepo wa mwanadamu na ujumbe wa Qur'ani kuhusu umaanawi katika zama zetu hizi, anapaswa kusoma aliyoyasema Imam Khomeini MA kuhusu Qur'ani Tukufu
Habari ID: 3428266 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/01