iqna

IQNA

Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imesema itatoa jibu kali kwa mauaji ya kamanda wake mwandamizi Samir Qantar, yaliyofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3468139    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/22