iqna

IQNA

Waungaji mkono Palestina
WASHINGTON, DC (IQNA) - Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Stanford nchini Marekani wamefanya mgomo wa kujilaza chini ndani ya chuo kwa karibu mwezi mmoja kulaani ukatili wa Israel huko Gaza na kuwataka maafisa wa chuo kikuu kususia miradi na taasisi za kitaaluma za Israel.
Habari ID: 3477909    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/18

Wafanyakazi wa Kituo cha Uchapishaji Qur’ani cha Mfalme Fahd nchini Saudia Arabia wameitisha mgomo kulalamikia ucheleweshwaji mishahara yao.
Habari ID: 3470518    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/12