austria - Ukurasa 2

IQNA

TEHRAN (IQNA) Kumeshuhudiwa ongezeko la 62% la kuhujumiwa Waislamu na Uislamu nchini Austria mwaka 2016.
Habari ID: 3470913    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/30

IQNA-Serikali ya Austria imechukua hatua ya kuwapiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa aina ya hijabu inayofunIka uso wote, maarufu kama niqabu, katika maeneo yote ya umma nchini humo.
Habari ID: 3470825    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/31

IQNA- Wafanyakazi wote wa umma Austira, wakiwemo walimu, watapigwa marufuku kuvaa Hijabu wakiwa kazini.
Habari ID: 3470786    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amezikosoa baadhi ya nchi za Ulaya kwa kufuata kibubusa sera za kiadui za Marekani kuhusiana na Iran.
Habari ID: 3360658    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/09