IQNA – Semina ya mtandaoni imepangwa kufanyika usiku wa leo kumkumbuka marehemu Abdolrasoul Abaei, msomi mashuhuri wa Qur'ani kutoka Iran.
Habari ID: 3480617 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30
Amir Hossein Anwari, qari wa Qur'ani katika Msafara wa Nur wa Hija ya 1445, alisoma aya za 197 hadi 199 za Surah Al-Baqarah na Surah Nasr wakati wa mkutano wa maafisa wasimamizi wa Hija nchini Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei mnamo Mei 6 jijini Tehran .
Habari ID: 3478798 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/09
Qiraa
IQNA - Mohammad Javad Panahi, qari maarufu wa Irani, hivi karibuni alisoma aya za Surah Al-Haj ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478711 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/21
TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni kumesambaa klipu ya qarii Muirani, Mehdi Adeli, akisema aya za Qur'ani Tukufu nchini Uturuki.
Habari ID: 3473951 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/27
Ubaguzi wa Trump
IQNA: Polisi nchini Marekani wamemtia mbaroni na kumfunga pingu mtoto wa miaka mitano Muirani katika hatua ya ubaguzi iliyojiri huko Uwanja wa Ndege wa Jimbo la Virginia.
Habari ID: 3470830 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/02