IQNA

16:26 - May 27, 2021
Habari ID: 3473951

Qiraa ya Qur'ani Tukufu ya qarii Muirani nchini Uturuki + Video

TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni kumesambaa klipu ya qarii Muirani, Mehdi Adeli, akisema aya za Qur'ani Tukufu nchini Uturuki.

Qiraa ya Qur'ani Tukufu ya qarii Muirani nchini Uturuki + Video

Katika klipu hii, Ustadh Adeli anasikika akisoma Sura al Fatiha kwa pumzi moja. Qiraa yake hiyo ilipokeleezwa vizuri na hadhirina.

3973793  

 

captcha