mkristo

IQNA

IQNA – Mwanafikra na msanii Mkristo kutoka Lebanon amesema Nabii Isa na Mtume Muhammad (rehema na amani ziwashukie) waliona jukumu lao kuwa ni kusimamisha maadili na upendo wa kimungu.
Habari ID: 3481716    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/25

IQNA – Mwandishi Mkristo kutoka Lebanon amemwelezea Bibi Fatima Zahra (SA) kuwa kielelezo kamili cha fadhila, akisema kuwa yeye ndiye nguzo ya imani na heshima ya mwanamke.
Habari ID: 3481655    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/13

TEHRAN (IQNA)-Misri hivi sasa iko katika hali ya tahadhari ya juu kufuatia hujuma mbili za kigaidi zilizolenga makanisa ya Wakristo wa Kikhufti katika miji ya Tanta na Alexandria na kuua watu 49 siku chache zilizopita.
Habari ID: 3470944    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/21

Profesa Mkristo katika Chuo Kikuu cha Kikristo huko Illinois Marekani aliyevaa hijabu kubainisha mshikamano wake na Wamarekani Waislamu wanaobaguliwa ametimuliwa chuoni hapo.
Habari ID: 3465818    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/19