iqna

IQNA

IQNA – Polisi wa utawala wa Israel wamemkamata Sheikh Mohammad Sarandah, khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa, muda mfupi baada ya kutoa hotuba ya Ijumaa, kwa mujibu wa Waqfu wa Kiislamu wa al-Quds.
Habari ID: 3481258    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/20

IQNA-Vikosi vya utawala vamizi wa Israel vimemkamata na kumpiga marufuku Sheikh Najeh Bakirat, kiongozi mashuhuri wa Kiislamu Palestina kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa ulioko jijini Al Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3480246    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21

TEHRAN (IQNA)-Zakir Naik, mhubiri wa Kiwahhabi mwenye utata amepokonywa pasi yake ya kusafiria na serikali ya India.
Habari ID: 3471075    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/19