TEHRAN (IQNA)-Katika siku za kukaribia Wiladat ya Imam Ridha AS, Msafara wa wahudumu wa Haram Takatifu ya Imam Ridha AS iliyoko nchini Iran wametembelea Tanzania na kukaribishwa kwa taadhima na wafuasi pamoja na muhibina wa Ahul Bayt AS nchini humo.
Habari ID: 3471100 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/03