Mwanazuoni mmoja wa Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri amesema kuwa makundi ya Mawahabi na Matakfiri wanaoipinga serikali ya Syria wanapata himaya ya nchi za Magharibi.
Habari ID: 1405405 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/10
Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu,Hizbullah, nchini Lebanon amesema iwapo wanamapambano wa harakati hiyo wasingeliingia nchini Syria, makundi ya kigaidi na kitakfiri yangeliwanyanyasa wananchi wote wa Lebanon.
Habari ID: 1389973 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/30