iqna

IQNA

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madola ya kigeni na kibeberu hayataweza kuilazimisha Syria ifuate matakwa yao.
Habari ID: 3310591    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/02

Sheikh Ahmad Khatib, Shekhe Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri ametoa taarifa na kusema kwa mujibu wa sheria za Kiislamu, ni haramu kubomoa athari na turathi za kihistoria.
Habari ID: 3308489    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/27

Sayyid Hassan Nasrallah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Lebanon, Hizbullah, amesema kuibuka Matakfiri ni katika njama za Marekani na Wazayuni.
Habari ID: 3304295    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/17

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Saudi Arabia imefanya kosa kubwa la kuivamia na kuishambulia kinyama Yemen na bila ya shaka yoyote madhara ya jinai wanazofanya huko Yemen yatawarejea wenyewe.
Habari ID: 3300744    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/14

Wakimbizi Wapalestina walio katika nchi mbali mbali duniani wanakabiliwa na matatizo makubwa sana. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kuhusu hali mbaya sana ya wakimbizi Wapalestina.
Habari ID: 3023920    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/22

Rais Bashar al-Assad wa Syria amekosoa vikali hatua ya Uturuki ya kuyaunga mkono makundi ya kigaidi na kitakfiri na kubainisha kwamba, Rais wa nchi hiyo Raccep Tayyip Erdogan anayaunga mkono makundi ya kitakfiri kwa ajili ya kuhudumia mabwana zake.
Habari ID: 2930963    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/05

Wanamgambo wa makundi ya kigaidi yanayofanya mauaji nchini Syria kwa madai ya kupambana na serikali ya Rais Bashar al Assad, wanapata himaya ya Marekani na Utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 2917860    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/02

Kamanda wa Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kamanda wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC amesema mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni yataendelea hadi Quds Tukufu ikombolewe.
Habari ID: 2743221    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/22

Wanachama wasiopungua sita wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah nchini Lebanon wameuawa, baada ya helikopta ya utawala wa Kizayuni wa Israel kushambulia kwa makombora maeneo ya milima ya Golan ndani ya ardhi ya Syria.
Habari ID: 2728169    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/19

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amelaani vikali utekaji nyara uliofanyika ndani ya mgahawa mmoja huko Sydney, nchini Australia.
Habari ID: 2619145    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/16

Tajiri maarufu wa Saudi Arabia Al Waleed bin Talal amekiri kuwa nchi hiyo ya kifalme inawasaidia magaidi wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIL) ambalo linapigana dhidi ya serikali za Iraq na Syria.
Habari ID: 1463446    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/25

Sayyid Hassan Nasrullah
Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kipaumbele cha kwanza cha Hizbullah ni kukabiliana vikali na makundi ya kigaidi na kitakfiri na kuzuia kuenea machafuko nchini Lebanon.
Habari ID: 1456409    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/01

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanapaswa kutafuta radhi za Allah SWT sambamba na kulinda Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 1444000    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/28

Baraza Kuu la Waislamu nchini Uingereza limelaani ukatili wa kundi la kigaidi la Daesh na kusisitiza kuwa, kundi hilo halina mfungamano wowote na dini Tukufu ya Uislamu.
Habari ID: 1441922    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/23

Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Kiislamu OIC na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) zimetaka kusimamishwa mapigano huko Syria katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 1424844    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/01

Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, amesema kuwa kushiriki kwa wingi Wa syria katika uchaguzi wa rais nchini humo ni thibitisho kwa ulimwengu kwamba, mashinikizo ya Wamarekani na madola ya Magharibi na Kiarabu dhidi ya Syria, yameshindwa.
Habari ID: 1414962    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/07

Mwanazuoni mmoja wa Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri amesema kuwa makundi ya Mawahabi na Matakfiri wanaoipinga serikali ya Syria wanapata himaya ya nchi za Magharibi.
Habari ID: 1405405    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/10

Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu,Hizbullah, nchini Lebanon amesema iwapo wanamapambano wa harakati hiyo wasingeliingia nchini Syria, makundi ya kigaidi na kitakfiri yangeliwanyanyasa wananchi wote wa Lebanon.
Habari ID: 1389973    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/30