iqna

IQNA

Waislamu wa Ireland
Kundi la jumuiya ya Kiislamu limeanzisha kampeni ya kuchangisha fedha kwa ajili ya msikiti mpya huko Tullamore, Ireland.
Habari ID: 3479170    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/22

Jinai za Israel
IQNA-Wizara ya Wakfu na Masuala ya Dini katika Ukanda wa Gaza imesema mashambulizi ya vikosi vya utawala katili wa Israel dhidi ya eneo hilo lililozingirwa yamebomoa na kuharibu misikiti 1,000 tokea Oktoba 7 mwaka uliopita hadi sasa.
Habari ID: 3478234    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/22

TEHRAN (IQNA) – Misikiti mitatu ilihujumiwa katika maeneo tafauti ya Ujerumani siku ya Jumapili katika kile kinachoonekana na kuongezeka hisia za kuuchukuia Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3471444    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/26

Misikiti 10 mipya inatazamiwa kujengwa nchini Mali magharibi mwa Afrika kupitia ufadhili wa Taasisi ya Misaada ya RAF.
Habari ID: 3454532    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/19

Waislamu nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali ya nchi hiyo kufunga misikiti kadhaa katika Kaunti ya Mombasa.
Habari ID: 1476305    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/23