Tafsiri
IQNA – Mwanadiplomasia wa Iran ametoa wito wa kutarjumiwa Tafsiri ya Tasnim, kazi kubwa ya tafsiri ya Qur’ani, katika lugha mbalimbali ili kufanya maarifa ya Qur’ani kufikika kwa hadhira ya kimataifa.
Habari ID: 3480068 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/18
IQNA - Waziri wa zamani wa utamaduni wa Tunisia alibainisha kuwa Tafsiri ya Qur’ani ya Sheikh Muhammad al-Ṭahir ibn Ashur (1879-1973) ilikuwa ni tafsiri ya kwanza ya Qur’ani nzima katika eneo la Kiarabu la Maghreb.
Habari ID: 3478164 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/07
Muhtasairi kuhusu Tafsiri na Wafasiri wa Qur'ani Tukufu/1
TEHRAN (IQNA) – Tafsir ( tafsiri ) ni istilahi katika sayansi ya Kiislamu ambayo ina maana ya kueleza maana ya aya za Qur'an Tukufu na kutoa mafundisho kutoka kwayo.
Habari ID: 3475733 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04
TEHRAN (IQNA)- Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Al Azhar wamebainisha wasiwasi wao kuhusu pendekelezo la Bunge la Senate la Misri la kuandikwa 'Tafsiri ya Kisasa' ya Qur'ani.
Habari ID: 3474764 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/04
TEHRAN (IQNA)- Kamati ya Kidini katika Bunge la Misri limeanza kujadili pendekezo la kuandika tafsiri mpya ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474707 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/22
TEHRAN (IQNA)- Tafsiri ya kale ya Qur’ani Tukufu inahifadhi katika Jumba la Makumbusho la Nyaraka za Kale la Alexandria nchini Misri.
Habari ID: 3474297 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/15
TEHRAN (IQNA)- Idara ya masuala ya kidini nchini Uturuki imetangaza mpango wa kuandika tafsiri mpya ya Qur'ani itakayaondikwa kwa mchango wa wanasayansi.
Habari ID: 3471452 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/03
Kikao cha 12 cha wasomi wafasiri wa Qur’ani Tukufu kimeanza Jumanne hii katika mji mtakatifu wa Qum nchini Iran.
Habari ID: 3454168 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/18