Rasimu hiyo itaanza kujadiliwa wakati wabunge watakaporejea kazini baada ya kukamilisha likizo za mwaka mpya wa Hijria Shamsia na sikukuu ya Nairuzi.
Mijadala ya kuchunguza rasimu ya kutazamwa upya uhusiano wa kiuchumi wa Iran na nchi zinazounga mkono ugaidi itafanyika katika siku za Jumapili ya leo, Jumanne na Jumatano ijayo. 382494