Mwandishi wa IQNA ameripoti kuwa kongamano hilo litafanyika kwa kaulimbiu ya 'Umoja, Mapambano na Ulimwengu Usiokuwa na Uzayuni' na kuhudhuriwa na wakurugenzi wakuu wa jumuiya za wanachuo wa nchi za Kiislamu.
Ajenda kuu ya kongamano hilo itatangazwa katika mkutano wa waandishi wa habari utakaofanyika Jumanne ya wiki hii. 633809