Idara ya Uhusiano wa Umma wa baraza hilo ndiyo iliyopewa jukumu la kuandaa mikutano na mawarasha hayo.
Mikutano na mawarsha hayo yatawafundisha vijana wa Kiislamu njia za kutumia vyombo vya habari katika kukabiliana na picha mbovu inayoenezwa katika nchi za Ulaya na Magharibi na vyombo vya nchi hizo kuhusiana na Uislamu.
Shughuli za magazeti na majarida, mbinu tofauti zinazotumika katika uandishi wa magazeti na majarida kwa ajili ya kupambana na Uislamu, mafunzo ya mbinu za uzalishaji vipindi vya televisheni, redio, magazeti na intaneti, njia za kupunguza chuki dhidi ya Uislamu na kujishughulisha Waislamu na masuala ya kimataifa yanayohusu Uislamu ni masuala mengine yanayotarajiwa kujadiliwa katika mkutano na makongamano hayo. 728899