Taasisi hiyo imekuwa ikiandaa kozi tokea mwaka 2005 kwa lengo la kuinua kiwango cha kielimu ya Qur'ani cha wake na watoto wa wanachuo wa kidini ili kuwapa uwezo wa kuhubiri Uislamu katika nchi zao.
Kozi hizo zinajumuisha kusoma Qur'ani, tajweed, ufahamu wa Qur'ani, tafsiri , akhlaqi na historia.
Taasisi hiyo pia imeandaa masomo maalumu kuhusu Ushia, Umahdi na kujitakasa mwanamke na Hijabu. Aidha washiriki wa kozi hizo walikutana na Marajii na vilevile waliandaa mashindano ya kusoma vitabu.
Taasisi hiyo ina benki ya programu za kompyuta pamoja na maktaba ya dijitali yenye kozi za Qur'ani na zaidi ya vitabu 2000 na CD 2000 za familia.
738373