Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Uokovu wa Libya amesema kuwa Wamagharibi wana wasiwasi mkubwa kuhusu suala la kuundwa serikali ya Kiislamu nchini humo na kusisitiza kuwa Walibya wanataka kuundwa serikali itakayosimama juu ya misingi ya sheria za Kiislamu.