Semina hiyo itajadili maana ya uongozi wa Kiislamu katika mitazamo mbalimbali, Ghadir katika mtazamo wa Ahlusunna, Ghadir katika mtazamo wa kihistoria wa Mashia na Ghadir na maana ya uongozi wa Kiislamu.
Mwishoni mwa semina hiyo washiriki wataulizwa swali kwamba je, kama wangeishi katika zama za Bwana Mtume (saw) wangetekeleza maneno yaliyosemwa na mtukufu huyo siku ya Ghadir Khum au la? 884537