Rashid al Ghanushi ametishia kwamba iwapo kutafanyika udanganyifu wa aina yoyote katika uchaguzi wa leo wananchi wa Tunisia watamiminika tena mitaani.
Wananchi wa Tunisia leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura katika uchaguzi wa kwanza huru tangu baada ya kung'olewa madarakani utawala wa kidikteta wa Zainul Abidin bin Ali. Katika uchaguzi wa leo Watunisia wanawachagua wawakilishi 218 wa Baraza la Waasisi. 885310