Kwa mujibu wa tovuti ya oujda-portail Wizara hiyo imesema kuwa mashindanohayo yatafanyika katikati ya mwezi wa Ramadhani katika Msikiti wa as-Sunna mjini Rabat mji mkuu wa nchi hiyo. Sherehe za kuhitimisha mashaindano hayo zitafanyika tarehe 8 Agosti. 1016592