Ni Waislamu 60 elfu tu wenye umri wa miaka 18-65 ndio wanaoshiriki katika ibada ya Hija mwaka huu na wote wamechanjwa na kisha kupimwa tena COVID-19.
Saudi Arabia imewapiga marufuku Waislamu kutoka nje ya nchi kwa mwaka wa pili mfululizo kutekeleza ibada ya Hija.