IQNA

Mazishi ya Sheikh Abdillahi Nassir mjini Mombasa, Kenya + Video

20:20 - January 12, 2022
Habari ID: 3474799
TEHRAN (IQNA)- Umati mkubwa wa Waislamu umeshiriki katika mazishi ya Marhum Sheikh Abdillahi mwanazuoni mkubwa wa Kiislamu barani Afrika.

Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA nchini Kenya, Sheikh Abdillah Nassri alifariki jana asubuhi mjini Mombasa na alizikwa siku hiyo hiyo  Alasiri katika Maziyara ya Wakilindini Mombasa baada ya kusaliwa katika Msikiti wa Hassanaina maarufu kama Bahman.

Sheikh Abdillahi Nassir alikuwa mfuasi wa madhehebu ya Ahul Bayt wa Mtume Muhammad SAW na alipata umaarufu kama mwanazuoni, mwalimu, mhadhiri na mwandishi maarufu wa Kiislamu mbali na kuwa miongoni mwa wajumbe wa  Kenya katika mazungumzo ya kupigania uhuru ya Lancaster huko London mwaka 1960

Marehemu alikuwa mwanachuoni mcha Mungu,mvumilivu, mnyenyekevu na mpambanaji katika njia ya Mwenyezi Mungu na hakuacha kushauri, kutoa muongozo na maelekezo hadi mwisho wa uhai wake.

4028204

تشییع شیخ «عبداللهی ناصر» عالم شیعه در کنیا + فیلم
 
تشییع شیخ «عبداللهی ناصر» عالم شیعه در کنیا + فیلم

تشییع شیخ «عبداللهی ناصر» عالم شیعه در کنیا + فیلم

تشییع شیخ «عبداللهی ناصر» عالم شیعه در کنیا + فیلم

تشییع شیخ «عبداللهی ناصر» عالم شیعه در کنیا + فیلم
 
تشییع شیخ «عبداللهی ناصر» عالم شیعه در کنیا + فیلم

تشییع شیخ «عبداللهی ناصر» عالم شیعه در کنیا + فیلم

تشییع شیخ «عبداللهی ناصر» عالم شیعه در کنیا + فیلم
captcha