iqna

IQNA

Ndoa
Suluhisho la Qur'ani kwa matatizo ya Familia/1
TEHRAN (IQNA) – Tatizo la kukosekana kwa usawa katika kiwango cha elimu, mali, n.k, kati ya mwanamume na mwanamke wanaooana linaweza kusababisha migogoro na wanandoa wanaweza kuishia kwenye talaka kutokana na hilo.
Habari ID: 3477858    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/07

Qur'ani Tukufu Inasemaje / 36
TEHRAN (IQNA) – Familia ni mojawapo ya misingi muhimu ya jamii na inabeba jukumu la kulea watoto wanaojenga vizazi vijavyo. Uislamu unalipatia umuhimu mkubwa kitengo hiki cha kijamii na umefafanua mifumo maalum kwa ajili yake.
Habari ID: 3476112    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/19

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Mkuu wa Al-Azhar wa Al Azhar amekosolewa na wanazuoni wenzake wa Kiislamu nchini Misri kwa kudai kuwa "ndoa ya wake wengi ni dhulma kwa wanawake na watoto".
Habari ID: 3471863    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/05