iqna

IQNA

Corona
TEHRAN (IQNA)- Algeria imefungua misikiti yote nchini humo baada kwa ajili ya sala za jamaa za kila siku na Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3473655    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/16

TEHRAN (IQNA) Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imelaani kitendo cha utawala haramu wa Israel kuzuia dozi 2,000 za chanjo ya Corona kuwafikia wafanyakazi wa sekta ya afya katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473654    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/16

TEHRAN (IQNA) – Misikiti mingine 8 imefungwa kwa muda maeneo mbali mbali ya Saudia kufuatia ongezeko la maambukizi ya COVID-19 nchini humo.
Habari ID: 3473649    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/14

TEHRAN (IQNA) – Vladimir Gushchin mtafiti katika Kituo cha Utafiti wa Gamaleya nchini Russia ambayo imetengenza chanjo ya Corona ya Sputnik V amesema chanjo hiyo ni halali kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 3473643    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/12

TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Sri Lanka wamewasilisha malalamiko kwa Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa kuhusu sera ya serikali yao ya kuchoma kwa lazima miili ya Waislamu wanaoshukiwa kupoteza maisha kutokana na corona au COVID 19.
Habari ID: 3473636    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/09

TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo amezindua mpango wa kitaifa wa chanjo ya corona ambapo amempongeza Waziri wa Afya Daktari Saeed Namaki kwa kumdunga mwanae wa kiume chanjo ya kwanza kabisa.
Habari ID: 3473635    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/09

TEHRAN (IQNA) – Spika wa Bunge la Kuwait amesema nchi hiyo haina nia ya kufunga misikiti tena ili kuzuia kuenea kirusi cha corona au COVID-19.
Habari ID: 3473632    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/08

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu ya na Masuala ya Kidini Algeria imesema misikiti nchini humo ambayo ilifungwa kutokana na janga la COVID-19 sasa imeanza kutayarishwa kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473627    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/06

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Qatar imetangaza uamuzi wa kufungua tena vituo vya kufunza Qur’ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3473581    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/22

TEHRAN (IQNA) – Nusu fainali ya Awamu ya 37 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran imeanza Jumanne asubuhi mjini Tehran.
Habari ID: 3473572    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/19

TEHRAN (IQNA)- Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wamesema utawala wa Israel, kama utawala vamizi unaokali ardhi za Palestina kwa mabavu, unapaswa kuwapa Wapalestina chanjo ya corona.
Habari ID: 3473559    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/15

TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Uingereza wanatoa msaada kwa mamia ya watu ambao wamekumbwa na matatizo ya kumudu mahitaji ya kimaisha katika kipindi hiki cha janga la COVID-19 au corona nchini humo.
Habari ID: 3473557    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/14

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametangaza bayana kuwa, kuingizwa Iran chanjo ya corona au COVID-19 kutoka Marekani na Uingereza ni marufuku.
Habari ID: 3473535    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/08

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Algeria imeafiki kufunguliwa tena madrassah za Qur'ani Tukufu nchini humo ambazo zilikuwa zimesitisha shughuli zao kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473514    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/01

TEHRAN (IQNA)- Chanjo ya corona au COVID-19 iliyotegenezwa na watafiti Wairani imeanza kufanyiwa majaribio kwa wanadamu siku ya Jumanne 29 Disemba ambapo watu waliojitolea wamedungwa chanjo hiyo.
Habari ID: 3473509    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/31

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemuelezea muuguzi kama malaika wa rehma; na akasema: Katika kipindi cha corona au COVID-19 na katika mazingira magumu mno ya jakamoyo na wasiwasi mkubwa zaidi kuliko ya hali ya kawaida, wauguzi wameweka kumbukumbu ya kazi kubwa na wamejituma na kufanya mambo ambayo kwa kweli ni ya kustaajabisha.
Habari ID: 3473475    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/20

TEHRAN (IQNA) – Chanjo ya COVID-19 au corona inayosuburiwa kwa hamu, haina haja ya kupata cheti cha ‘Halal’ kabla ya kutumika nchini Malaysia, amesema mkurugenzi mkuu wa Wizara ya Afya nchini humo Daktari Noor Hisham Abdullah.
Habari ID: 3473439    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/09

TEHRAN (IQNA) - Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu janga la COVID-19 kusambaratisha mfumo wa afya katika eneo la Palestina la Ghaza, ambalo limezingirwa kinyama na Israel.
Habari ID: 3473389    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/24

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Wakfu na Masuala ya Kiislamu Jordan amesema marufuku ya Swala ya Ijumaa nchini humo sasa imeondolewa.
Habari ID: 3473374    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/19

TEHRAN (IQNA) – Sheikh Ahmed el-Tayeb, mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha al Azhar ametoa wtio wa kusambazwa chanjo ya corona au COVID-19 kwa usawa.
Habari ID: 3473367    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/17