IQNA – Katika maandalizi ya ibada ya Hija ijayo, maafisa wa Msikiti Mtakatifu wa Makka wameinua sehemu ya chini ya pazia la Kaaba, linalojulikana kama Kiswah, kwa urefu wa mita tatu.
Habari ID: 3480687 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/14
TEHRAN (IQNA)- Sherehe imefanyika mjini Makka Jumapili kubadilisha pazia la al-Kaaba Tukufu linalojulikana kama Kiswa baada ya kuwadia mwezi wa Dhul Hija ambao ni mwezi wa kutekeleza Ibada ya Hija.
Habari ID: 3472988 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/22