Fitina baina ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Kampuni iliyotengeneza filamu yenye utata na yenye kuibua mifarakano ya 'Lady of Heave'n au 'Mwanamke wa Mbinguni' imetangaza kuwa imesitisha uonyeshaji wa flamu hiyon chini Uingereza kufuatia maandamano na malalamiko ya watu wengi nchini humo
Habari ID: 3475351 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/08
TEHRAN (IQNA) – Wazazi Waislamu wametakuwa kuwa waangalifu kuhusu filamu na katuni ambazo watoto wao wanatizama.
Habari ID: 3473010 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/28
Mwandishi habari mashuhuri Msaudi ameipongeza filamu ya Muhammad Rasulullah SAW iliyotengenezwa nchini Iran.
Habari ID: 3360029 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/07
Baraza la Maulamaa katika utawala wa Saudi Arabia wametangaza kuipinga filamu ya Mtume Muhammad SAW iliyotengenezwa Iran.
Habari ID: 3358540 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/06
Idadi kubwa ya Waislamu na hata wasiokuwa Waislamu nchini Canada wameendelea kuvutiwa sana na filamu ya Mtume Muhammad SAW iliyotengenezwa nchini Iran.
Habari ID: 3357607 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/03
Filamu ya Muhammad Rasulullah SAW imeonyeshwa kimataifa kwa mara ya kwanza katika Tamasha la Kimataifa la Filamu la Montreal nchini Canada.
Habari ID: 3353310 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/28