IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu ni fursa muhimu ya kuleta unyenyekevu na uhai wa kiroho katika mazingira ya vyuo vikuu kupitia usomaji wa Qur'ani Tukufu, amesema afisa mmoja wa elimu.
Habari ID: 3480788 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/04
Diplomasia ya Qurani
IQNA-Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa uamuzi wake wa kuanzisha Akademia ya Qur'ani jijini Dar al-Nur na kuahidi kutoa ushirikiano unaohitajika katika uwanja huo.
Habari ID: 3479865 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/06
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Awqaf nchini Misri Sheikh Mukhtar Gomaa amekutana na Katibu Mkuu wa Akademia ya Kimataifa ya Fiqhi Sheikh Koutoub Mustafa Sano kujadili njia ya kukabiliana na misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3474077 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/07
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Akademia ya Elimu, Utamaduni na Utafiti Iran (ACECR) amesema academia hiyo inapaswa kuongoza duniani katika ustawi wa sayansi na teknolojia.
Habari ID: 3473037 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/05