IQNA – Mwanasiasa na mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Iran ametoa wito kwa nchi zenye Waislamu wengi kuunda umoja wa kisiasa na kiuchumi ili kuimarisha msimamo wao wa pamoja dhidi ya miungano ya mataifa ya Magharibi kama vile NATO na Umoja wa Ulaya.
Habari ID: 3481270 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/22
Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema eneo la Asia Magharibi halidhibitiwi tena Marekani, na kwamba hivi sasa lipo katika mikono ya mataifa ya Waislamu.
Habari ID: 3475447 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/01
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekutana na Rais wa Kazakhstan na kusema tatizo kuu katika kadhia ya Ukraine ni kuwa, nchi za Magharibi zina mpango wa kupanua muungano wa kijeshi wa NATO.
Habari ID: 3475400 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/20
TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Moscow alionyesha kuunga mkono uamuzi wa Rais wa Russia Vladimir Putin wa kutambua maeneo yaliyojitenga ya Lugansk na Donetsk mashariki mwa Ukraine kama jamhuri huru.
Habari ID: 3474965 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/23
TEHRAN (IQNA) – Wanajeshi tisa wa Australia wamejiua katika kipindi cha wiki tatu baada ya ripoti kufichua jinai zilizotendwa na Kikosi cha SAS cha Jeshi la Australia nchini Afghanistan.
Habari ID: 3473387 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/23