iqna

IQNA

Zazkay
TEHRAN (IQNA) - Ofisi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imelaani mauaji ya raia wasio na hatia wa nchi hiyo yaliyofanywa na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram.
Habari ID: 3473422    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/04