iqna

IQNA

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Ali Khamenei, leo asubuhi (Jumatano), katika Wiki ya Rasilimali Asili na Siku ya Upandaji Miti, amepanda miche mitatu ya miti.
Habari ID: 3480309    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/05

Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepanda mzeituni katika hatua ambayo ameitaja kuwa ni mshikamano na wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.
Habari ID: 3478453    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/05

Uislamu na Mazingira
DUBAU (IQNA) – Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesema kuna aya nyingi katika Qur'ani Tukufu zinazowaalika watu kuheshimu mazingira.
Habari ID: 3477992    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/05

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kulinda na kuhifadhi miti ni kazi muhimu sana ambayo inapaswa kufanywa
Habari ID: 3475016    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/06

Wiki ya Maliasili na Siku ya Kupanda Miti nchini Iran
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitia kuwa, harakati za mazingira ni harakati za kidini na kimapinduzi huku akitahadharisha kuhusu uharibifu wa misitu na maliasili.
Habari ID: 3473706    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/05