Muqawama
IQNA-Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ameipongeza Lebanon na harakati yake ya Muqawama, Hizbullah kwa kufanikiwa kusimamisha vita vya Israel, na kuutaja kuwa ni "ushindi wa kimkakati kwa Hizbullah na wa kufedhehesha" kwa utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3479822 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/28
Muqawama
IQNA - Harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah imesema imepata ushindi dhidi ya utawala wa Kizayuni, na kuongeza kuwa adui Mzayuni alijidanganya na hivyo alishindwa kudhoofisha azma ya Hizbullah.
Habari ID: 3479821 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/28
TEHRAN (IQNA)- Wapalestina jana usiku walimiminika mitaani kusherehekea usitishwaji vita katika Ukanda wa Ghaza baada ya utawala haramu wa Israel kushindwa kukabiliana na wimbi kubwa la makombora ya harakati za muqawama au mapambano ya Kiislamu.
Habari ID: 3473932 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/21
Mamillioni ya wananchi wa Iran leo wamejitokeza na kushiriki kwa wingi katika maandamano ya kuadhimisha mwaka wa 36 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 2840030 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/11
Maelfu ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza wameendelea kusherehekea kufikiwa makubaliano ya muda mrefu kuhusu usitishaji mapigano kati ya makundi ya muqawama na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 1443936 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/27