Diplomasia ya Qur'ani
IQNA - Sherehe za kufunga toleo la 10 la mashindano ya Qur'ani kati ya majeshi ya Iran na Oman zimefanyika huku washindi wakipokea tuzo zao.
Habari ID: 3478945 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/07
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya Qur'ani kati ya majeshi ya Iran na Oman yanaendelea katika mji mkuu wa Oman, Muscat.
Habari ID: 3478937 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/05
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uwezo wa vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ni kwa ajili ya kujihami na kutoa jibu litakalomfanya adui ajutie.
Habari ID: 3474005 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/14