iqna

IQNA

Waislamu Ethiopia
TEHRAN (IQNA)- Mvutano unaendelea nchini Ethiopia kuhusu mpango tata wa kubomoa misikiti nchini humo, huku watu watatu wakiuawa katika mapigano ya hivi punde siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477088    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/03

Waislamu Afrika
TEHRAN (IQNA)- Watu wawili wameuawa wakati askari polisi walipowashambulia Waislamu walioandamana katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa kupinga kubomolewa misikiti yao zaidi ya 19 katika eneo la kandokando ya mji huo.
Habari ID: 3477063    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/29

Mazungumzo ya Kidini
TEHRAN (IQNA) - Siku ya Jumamosi, Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoloji Duniani alikutana na Sheikh Mohammad Al-Issa, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu Ulimwenguni (MWL), katika ofisi yake katika Jumba la Saint Martha huko Vatican.
Habari ID: 3477062    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/28

Waislamu Japani
TEHRAN (IQNA) – Idadi ya misikiti imekuwa ikiongezeka nchini Japan katika miaka ya hivi karibuni kama vile idadi ya wafuasi wa Uislamu.
Habari ID: 3477048    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/26

Chuki dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA) –Waislamu katika mji wa kati wa Ujerumani wa Goettingen wameeleza "wasiwasi" baada ya msikiti wao kupokea barua ya vitisho yenye nembo ya Kinazi ya Swastika na nembo nyinginezo za Wanazi mamboleo.
Habari ID: 3477047    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/26

Waislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Kundi la wanazuoni na taasisi za Kiislamu nchini Ufaransa wamekashifu vikali shutuma zilizotolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo ya Ulaya dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa.
Habari ID: 3477041    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/25

TEHRAN (IQNA) – Msomi Muislamu wa Austria, Farid Hafez ameitaja serikali ya Ufaransa kama nchi ya Ulaya ambayo ina mtazamo mkali zaidi kwa Waislamu Waislamu.
Habari ID: 3477035    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/23

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Mameya kumi na sita katika jimbo la New Jersey walionyesha kumuunga mkono Meya Muislamu Mohamed Khairullah, ambaye hakualikwa kwenye dhifa ya Idul Fitr iliyoandaliwa na Rais wa Marekani Joe Biden katika Ikulu ya White House mapema mwezi huu.
Habari ID: 3477023    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/20

TEHRAN (IQNA) – Balozi wa Sri Lanka nchini India Milinda Moragoda amemtunuku Balozi wa Saudia nchini India Saleh Eid Al-Husseini nakala ya tafsiri ya Kisinhala ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477012    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/17

TEHRAN (IQNA) - Uharibifu uliharibu milango ya msikiti huko St Paul, ni tukio la hivi karibuni la mashambulio mengi dhidi ya maeneo ya ibada ya Waislamu katika wiki za hivi karibuni katika eneo a Twin Cities nchini Marekani.
Habari ID: 3476992    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/12

Haki za Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Mamia ya wanafunzi wa kike wa Kiislamu wamezishtaki shule kadhaa nchini Gambia, wakizituhumu kwa kupiga marufuku vazi lao la Hijabu.
Habari ID: 3476987    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/11

Uislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) – Utafiti mpya nchini Uswisi unashauri kutoa masomo zaidi ya Kiislamu katika shule za umma.
Habari ID: 3476966    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/06

Maoni
TEHRAN (IQNA)- Jana, tarehe 10 Ordibehest, 1402 Hijria Shamsia sawa na Aprili 30, ilikuwa siku ya kumbukumbu ya kufukuzwa wakoloni wa Kireno katika maji ya Kusini mwa Iran hapo mwaka 1622, na inatambuliwa nchini Iran kuwa Siku ya Kitaifa ya Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3476942    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/01

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)-Filamu ya video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii imemuonyesha mtoto mdogo wa Kiislamu akiondolewa kwa nguvu katika familia yake ya Kiislamu na maafisa wa "huduma za ulinzi wa watoto" na askari polisi wa Ujerumani kwa sababu wazazi wake wanadaiwa kumfundisha kwamba mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja hayakubaliki katika Uislamu.
Habari ID: 3476935    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/30

Waislamu Kanada
TEHRAN (IQNA) - Shirika moja la Waislamu wa Kanada (Canada) limelaani hatua ya polisi wa Edmonton ya kumkamata kwa mabavu na vurugu Mwislam mwenye asili ya Afrika wiki iliyopita.
Habari ID: 3476926    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/28

Hali ya Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Kundi la wanafunzi Waislamu wanaendelea kupigania haki yao ya kuwa na mahali pa ibada huko Daegu, Korea Kusini, huku kukiwa na unyanyasaji wa chuki dhidi ya Uislamu katika eneo hilo.
Habari ID: 3476923    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/27

Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya India yenye misimamo ya kufurutu ada imefuta historia ya watawala wa Kiislamu katika vitabu vya masomo na kuzidi kuthibitisha kwamba, inafuatilia kwa nguvu zote siasa za kukabiliana na Waislamu pamoja na historia yao.
Habari ID: 3476921    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/27

Njia ya Haki
TEHRAN (IQNA) – Mzee mmoja ambaye alifika Msikitini kulalamika kuhusu kelele katika eneo hilo la ibada huko Australia hatimaye alisilimu baada ya kukaribishwa kwa ukarimu na waumini waliokuwa Msikitini hapo.
Habari ID: 3476918    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/26

Idul Fitr
TEHRAN (IQNA) - Kwa watoto katika jamii ya Waislamu wa eneo la St. John nchini Kanada, Jumamosi ilikuwa siku ambayo walijumuika pamoja baada ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476904    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/23

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Jiji la Minneapolis limekuwa jiji la kwanza kubwa la Marekani kuruhusu utangazaji bila vikwazo wa wito wa Waislamu wa Sala yaani Adhana kwa sauti inayosikika nje ya msikiti mara tano kwa siku mwaka mzima.
Habari ID: 3476872    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/15