iqna

IQNA

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Des Moines kinafanya maandalizi ya kupata makaburi yake, kuashiria hatua muhimu katika kujitolea kwao kudumisha mila za Kiislamu na kupunguza mzigo wa kifedha kwa familia zilizofiwa.
Habari ID: 3477377    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04

Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Naibu Imamu wa Sala ya jamaa ameuawa baada ya kundi la Wahindu wenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia kuufyatulia risasi na kuuchoma moto msikiti katika kitongoji cha mji mkuu wa India, New Delhi, saa chache baada ya ghasia mbaya za kijamii zilizozuka katika wilaya jirani.
Habari ID: 3477368    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/01

Waislamu Uingereza
LONDON (IQNA) – Masjid E Saliheen, msikiti wa Blackburn, utaandaa siku ya tafrija na kufurahisha familia wikendi hii ili kusaidia kuchangisha fedha za kuboresha vifaa vya mazishi.
Habari ID: 3477301    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/18

Chuki dhidi ya Waislamu
HELSINKI (IQNA) – Mashirika ya Kiislamu Ufini (Finland) yameihimizwa serikali ya nchi hiyo kuchukua hatua kali za "kutovumilia" ubaguzi wa rangi.
Habari ID: 3477300    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/18

Chuki dhidi ya Uislamu
ISLAMABAD (IQNA) - Afisa mmoja wa Pakistani alitoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuhakikisha sheria dhidi ya kufuru na kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu zinapitishwa katika nchi zao.
Habari ID: 3477265    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/10

Mazungumzo baina ya dini
Msikiti wa Jamia katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi hivi karibuni umeandaa siku maalumu ya kuwakaribisha wasiokuwa Waislamu, hasa Wakristo nchini humo, ndani ya msikiti huo ili waweze kujifunza kuhusu Uislamu na Waislamu na kuondoa fikra potovu zilizopo.
Habari ID: 3477106    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/06

Uislamu Brazil
Waziri wa Utalii wa Brazil Daniela Carneiro ametembelea maonyesho ya Qur'ani Tukufu yanayoendelea katika nchi hiyo ya Amerika Kusini.
Habari ID: 3477097    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/04

Waislamu Ethiopia
TEHRAN (IQNA)- Mvutano unaendelea nchini Ethiopia kuhusu mpango tata wa kubomoa misikiti nchini humo, huku watu watatu wakiuawa katika mapigano ya hivi punde siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477088    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/03

Waislamu Afrika
TEHRAN (IQNA)- Watu wawili wameuawa wakati askari polisi walipowashambulia Waislamu walioandamana katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa kupinga kubomolewa misikiti yao zaidi ya 19 katika eneo la kandokando ya mji huo.
Habari ID: 3477063    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/29

Mazungumzo ya Kidini
TEHRAN (IQNA) - Siku ya Jumamosi, Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoloji Duniani alikutana na Sheikh Mohammad Al-Issa, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu Ulimwenguni (MWL), katika ofisi yake katika Jumba la Saint Martha huko Vatican.
Habari ID: 3477062    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/28

Waislamu Japani
TEHRAN (IQNA) – Idadi ya misikiti imekuwa ikiongezeka nchini Japan katika miaka ya hivi karibuni kama vile idadi ya wafuasi wa Uislamu.
Habari ID: 3477048    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/26

Chuki dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA) –Waislamu katika mji wa kati wa Ujerumani wa Goettingen wameeleza "wasiwasi" baada ya msikiti wao kupokea barua ya vitisho yenye nembo ya Kinazi ya Swastika na nembo nyinginezo za Wanazi mamboleo.
Habari ID: 3477047    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/26

Waislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Kundi la wanazuoni na taasisi za Kiislamu nchini Ufaransa wamekashifu vikali shutuma zilizotolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo ya Ulaya dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa.
Habari ID: 3477041    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/25

TEHRAN (IQNA) – Msomi Muislamu wa Austria, Farid Hafez ameitaja serikali ya Ufaransa kama nchi ya Ulaya ambayo ina mtazamo mkali zaidi kwa Waislamu Waislamu.
Habari ID: 3477035    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/23

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Mameya kumi na sita katika jimbo la New Jersey walionyesha kumuunga mkono Meya Muislamu Mohamed Khairullah, ambaye hakualikwa kwenye dhifa ya Idul Fitr iliyoandaliwa na Rais wa Marekani Joe Biden katika Ikulu ya White House mapema mwezi huu.
Habari ID: 3477023    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/20

TEHRAN (IQNA) – Balozi wa Sri Lanka nchini India Milinda Moragoda amemtunuku Balozi wa Saudia nchini India Saleh Eid Al-Husseini nakala ya tafsiri ya Kisinhala ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477012    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/17

TEHRAN (IQNA) - Uharibifu uliharibu milango ya msikiti huko St Paul, ni tukio la hivi karibuni la mashambulio mengi dhidi ya maeneo ya ibada ya Waislamu katika wiki za hivi karibuni katika eneo a Twin Cities nchini Marekani.
Habari ID: 3476992    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/12

Haki za Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Mamia ya wanafunzi wa kike wa Kiislamu wamezishtaki shule kadhaa nchini Gambia, wakizituhumu kwa kupiga marufuku vazi lao la Hijabu.
Habari ID: 3476987    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/11

Uislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) – Utafiti mpya nchini Uswisi unashauri kutoa masomo zaidi ya Kiislamu katika shule za umma.
Habari ID: 3476966    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/06

Maoni
TEHRAN (IQNA)- Jana, tarehe 10 Ordibehest, 1402 Hijria Shamsia sawa na Aprili 30, ilikuwa siku ya kumbukumbu ya kufukuzwa wakoloni wa Kireno katika maji ya Kusini mwa Iran hapo mwaka 1622, na inatambuliwa nchini Iran kuwa Siku ya Kitaifa ya Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3476942    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/01