Waislamu Kanada
OTTAWA (IQNA) - Jumuiya ya Waislamu huko Chatham-Kent, ambayo ina mamia ya watu, inataka kuwa na makaburi ambapo wanaweza kuzika wapendwa wao kulingana na imani yao.
Habari ID: 3477974 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/02
Waungaji mkono Palestina
TEHRAN (IQNA)- Katika muendelezo wa himaya na uungaji mkono wa ulimwengu kwa mapambano ya wananchi wa Gaza na kulaani jinai za utawala ghasibu wa Israel, maelfu ya wananchi wa Pakistan wameandamana na kuelekea katika ubalozi mdogo wa Marekani.
Habari ID: 3477967 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/30
Waislamu Ujerumani
BERLIN (IQNA) – Kiongozi mmoja wa jamii ya Waislamu nchini Ujerumani ameelezea wasiwasi wake juu ya kuongezeka kwa chuki dhidi ya Waislamu nchini humo kufuatia vita vya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
Habari ID: 3477958 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/28
Chuki dhidi ya Uislamu
BERLIN (IQNA) – Chuki dhidi ya Uislamu ni tatizo kubwa nchini Ujerumani, na kulishughulikia kunahitaji ushiriki wa makundi makubwa ya jamii, mtaalamu mashuhuri amesema.
Habari ID: 3477939 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/24
Chuki dhidi ya Uislamu
OTTAWA (IQNA) - Mwanaharakati wa Kiislamu wa Kanada (Canada) alielezea kiwango cha chuki dhidi ya Uislamu na ukandamizaji Waislamu nchini humo katika wiki za hivi karibuni kuwa haujawahi kutokea.
Habari ID: 3477894 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/15
Waislamu Warohingya
JAKARTA (IQNA) - Siku ya Jumanne, kundi la karibu wakimbizi 200 Waislamu wa jamii ya Rohingya, wakiwemo wanawake na watoto, waliwasili katika jimbo la magharibi mwa Indonesia, kulingana na afisa wa eneo hilo.
Habari ID: 3477891 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/14
Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Ripoti mpya inasema kwamba matukio ya chuki dhidi ya Waarabu na Waislamu nchini Marekani yameongezeka hadi kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa tangu vita kati ya Israel na Wapalestina kuzuka katika Ukanda wa Gaza mwezi uliopita.
Habari ID: 3477872 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/10
Chuki dhidi ya Uislamu
BERLIN (IQNA)- Utafiti mpya umefichua kuwa, asilimia 40 ya wanaume Waislamu nchini Ujerumani wanakabiliwa na vitendo vya ubaguzi katika maisha yao ya kila siku, huku hujuma na mashambulio ya kibaguzi dhidi ya Waislamu yakiripotiwa kukithiri katika nchi hiyo ya bara Ulaya.
Habari ID: 3477864 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/09
Chuki dhidi ya Uislamu
BERLIN (IQNA) - Ujerumani imeelezea wasiwasi wake juu ya kuongezeka kwa matukio ya ubaguzi wa dhidi ya Waislamu nchini humo tangu kuanza kwa mzozo wa Gaza Oktoba 7.
Habari ID: 3477854 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/07
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na ujumbe alioandamana nao wamekutana na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei.
Habari ID: 3477847 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/06
WASHINGTON, DC (IQNA) - Donald Trump aliuambia mkutano wa wafadhili wa Kiyahudi wa Republican siku ya Jumamosi kwamba atarejesha marufuku yake ya wasafiri kutoka nchi nyingi za Waislamu ikiwa atashinda tena urais mnamo 2024.
Habari ID: 3477806 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/29
Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Ustahimilivu wa jumuiya ya Waislamu wa Marekani ulionyeshwa wakati umati wa watu waliofurika ulipojitokeza kwa ajili ya karamu ya 29 ya kila mwaka ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) wikendi hii.
Habari ID: 3477787 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/25
Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Wahindu wenye msimamo mkali walimpiga na kumuuai Mwislamu mlemavu kwa kula prasad kwenye hekalu.
Habari ID: 3477669 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/29
Waislamu Mauritania
NOUAKCHOTT (IQNA) - Mauritania imeanza kusambaza nakala 300,000 za Qur'ani Tukufu katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3477667 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/29
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Harakati ya Lobi ya Kiyahudi ya Kizayuni duniani pamoja na washirika wake inataka kupenya na kuwa na ushawishi baina ya Waislamu na hivyo kuudhibiti Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3477660 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/27
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu wiki hii amezungumza na waandishi habari kuhusu Kongamano la 37 la Umoja wa Kiislamu mjini Tehran.
Habari ID: 3477659 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/27
Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Zaidi ya mikusanyiko 250 dhidi ya Waislamu ilifanyika katika majimbo 17 ya India katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2023, kulingana na ripoti ambayo inaangazia mwelekeo unaoongezeka wa chuki dhidi ya Uislamu nchini India tangu 2014.
Habari ID: 3477656 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26
Waislamu Kanada
OTTAWA (IQNA) – Shirika moja la Kiislamu nchini Kanada (Canada) limelaani matamshi ya "uchochezi" na "mgawanyiko" yaliyotolewa na wanasiasa wa Kanada, ikiwa ni pamoja na Waziri Mkuu Justin Trudeau, dhidi ya matakwa ya haki ya watu wanaopinga mtaala wa itikadi ya kijinsia shuleni ambao lengo lake na kupotosha watoto kimaadili na kifamilia.
Habari ID: 3477655 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26
Chuki dhidi ya Uislamu
STOCKHOLM (IQNA) - Msikiti mmoja kusini mashariki mwa Uswidi umeharibiwa vibaya kufuatia shambulio la uchomaji moto.
Habari ID: 3477654 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26
Waislamu Australia
TEHRAN (IQNA) – Siku ya kumi ya Kitaifa ya Ufunguzi wa Msikiti (NMOD) itafanyika Jumamosi tarehe 28 Oktoba, tukio ambalo linawaalika Waaustralia wasiokuwa Waislamu wa asili zote kutembelea misikiti na kujifunza zaidi kuhusu Uislamu na utamaduni wake.
Habari ID: 3477653 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/25