Chuki dhidi ya Uislamu
BERLIN (IQNA) - Ujerumani imeelezea wasiwasi wake juu ya kuongezeka kwa matukio ya ubaguzi wa dhidi ya Waislamu nchini humo tangu kuanza kwa mzozo wa Gaza Oktoba 7.
Habari ID: 3477854 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/07
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na ujumbe alioandamana nao wamekutana na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei.
Habari ID: 3477847 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/06
WASHINGTON, DC (IQNA) - Donald Trump aliuambia mkutano wa wafadhili wa Kiyahudi wa Republican siku ya Jumamosi kwamba atarejesha marufuku yake ya wasafiri kutoka nchi nyingi za Waislamu ikiwa atashinda tena urais mnamo 2024.
Habari ID: 3477806 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/29
Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Ustahimilivu wa jumuiya ya Waislamu wa Marekani ulionyeshwa wakati umati wa watu waliofurika ulipojitokeza kwa ajili ya karamu ya 29 ya kila mwaka ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) wikendi hii.
Habari ID: 3477787 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/25
Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Wahindu wenye msimamo mkali walimpiga na kumuuai Mwislamu mlemavu kwa kula prasad kwenye hekalu.
Habari ID: 3477669 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/29
Waislamu Mauritania
NOUAKCHOTT (IQNA) - Mauritania imeanza kusambaza nakala 300,000 za Qur'ani Tukufu katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3477667 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/29
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Harakati ya Lobi ya Kiyahudi ya Kizayuni duniani pamoja na washirika wake inataka kupenya na kuwa na ushawishi baina ya Waislamu na hivyo kuudhibiti Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3477660 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/27
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu wiki hii amezungumza na waandishi habari kuhusu Kongamano la 37 la Umoja wa Kiislamu mjini Tehran.
Habari ID: 3477659 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/27
Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Zaidi ya mikusanyiko 250 dhidi ya Waislamu ilifanyika katika majimbo 17 ya India katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2023, kulingana na ripoti ambayo inaangazia mwelekeo unaoongezeka wa chuki dhidi ya Uislamu nchini India tangu 2014.
Habari ID: 3477656 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26
Waislamu Kanada
OTTAWA (IQNA) – Shirika moja la Kiislamu nchini Kanada (Canada) limelaani matamshi ya "uchochezi" na "mgawanyiko" yaliyotolewa na wanasiasa wa Kanada, ikiwa ni pamoja na Waziri Mkuu Justin Trudeau, dhidi ya matakwa ya haki ya watu wanaopinga mtaala wa itikadi ya kijinsia shuleni ambao lengo lake na kupotosha watoto kimaadili na kifamilia.
Habari ID: 3477655 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26
Chuki dhidi ya Uislamu
STOCKHOLM (IQNA) - Msikiti mmoja kusini mashariki mwa Uswidi umeharibiwa vibaya kufuatia shambulio la uchomaji moto.
Habari ID: 3477654 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26
Waislamu Australia
TEHRAN (IQNA) – Siku ya kumi ya Kitaifa ya Ufunguzi wa Msikiti (NMOD) itafanyika Jumamosi tarehe 28 Oktoba, tukio ambalo linawaalika Waaustralia wasiokuwa Waislamu wa asili zote kutembelea misikiti na kujifunza zaidi kuhusu Uislamu na utamaduni wake.
Habari ID: 3477653 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/25
Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Chuki dhidi ya Uislamu nchini India imeenea zaidi kuliko hapo awali, alisema waziri mkuu wa zamani na makamu wa rais wa Mkutano wa Kitaifa, Omar Abdullah.
Habari ID: 3477646 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/24
Watetezi wa Quds Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Wanafunzi wa vyuo vikuu vya Mauritania wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Nouakchott, wakilaani kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya Waarabu na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3477643 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/23
Chuki dhidi ya Uislamu
AMSTERDAM (IQNA) –Rais wa taasisi kuu ya Kiislamu Uholanzi anasema chuki dhidi ya Uislamu inaweza kuonekana katika taasisi zote za serikali nchini humo.
Habari ID: 3477642 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/23
Waislamu Australia
CANBERRA (IQNA) - Mashindano ya Qur'ani yaliyoandaliwa mjini Sydney, Australia, yalihitimishwa katika sherehe ambapo washindi wa kwanza walitunukiwa.
Habari ID: 3477636 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/22
Waislamu Australia
CANBERRA (IQNA) – Khaled Sabsabi, msanii anayeishi Magharibi mwa Sydney ambaye amejaribu kuwapa sauti wahamiaji Waislamu wasiosikika, ameshinda tuzo ya ubunifu wa sanaa ijulikanayo kama Creative Australia Visual Arts Award.
Habari ID: 3477621 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/18
Waislamu Ufaransa
PARIS (IQNA) - Edouard Philippe, ambaye aliwahi kuwa waziri mkuu chini ya Rais wa Ufaransa Emanuel Macron kutoka 2017-2020, almeandika katika kitabu chake kipya kilichotolewa Des Lieux Qui Disent (Maeneo Yanayozungumza) kwamba kuna haja ya kuunda "kanuni na shirika maalum kwa ajili ya kusimamia masuala ya Waislamu”.
Habari ID: 3477620 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/18
Waislamu Ujerumani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier amesema Jumamosi kwamba Uislamu ni dini ya Ujerumani huku kukiwa na ongezeko la ubaguzi wa rangi na chuki dhidi ya Uislamu inayochochewa na propaganda za vikundi vya mrengo mkali wa kulia na vyama ambavyo vimetumia vibaya mzozo wa wakimbizi na kujaribu kuzua hofu ya wahamiaji.
Habari ID: 3477611 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/17
Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Familia ya Nurul Hassan, mhandisi Mwislamu katika jimbo la Maharashtra nchini India, iko katika hali ya mshtuko baada ya kuuawa kwake kikatili na kundi la Wahindu kwenye msikiti.
Habari ID: 3477609 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/16