waislamu - Ukurasa 11

IQNA

Waislamu Australia
CANBERRA (IQNA) - Mashindano ya Qur'ani yaliyoandaliwa mjini Sydney, Australia, yalihitimishwa katika sherehe ambapo washindi wa kwanza walitunukiwa.
Habari ID: 3477636   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/22

Waislamu Australia
CANBERRA (IQNA) – Khaled Sabsabi, msanii anayeishi Magharibi mwa Sydney ambaye amejaribu kuwapa sauti wahamiaji Waislamu wasiosikika, ameshinda tuzo ya ubunifu wa sanaa ijulikanayo kama Creative Australia Visual Arts Award.
Habari ID: 3477621   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/18

Waislamu Ufaransa
PARIS (IQNA) - Edouard Philippe, ambaye aliwahi kuwa waziri mkuu chini ya Rais wa Ufaransa Emanuel Macron kutoka 2017-2020, almeandika katika kitabu chake kipya kilichotolewa Des Lieux Qui Disent (Maeneo Yanayozungumza) kwamba kuna haja ya kuunda "kanuni na shirika maalum kwa ajili ya kusimamia masuala ya Waislamu”.
Habari ID: 3477620   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/18

Waislamu Ujerumani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier amesema Jumamosi kwamba Uislamu ni dini ya Ujerumani huku kukiwa na ongezeko la ubaguzi wa rangi na chuki dhidi ya Uislamu inayochochewa na propaganda za vikundi vya mrengo mkali wa kulia na vyama ambavyo vimetumia vibaya mzozo wa wakimbizi na kujaribu kuzua hofu ya wahamiaji.
Habari ID: 3477611   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/17

Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Familia ya Nurul Hassan, mhandisi Mwislamu katika jimbo la Maharashtra nchini India, iko katika hali ya mshtuko baada ya kuuawa kwake kikatili na kundi la Wahindu kwenye msikiti.
Habari ID: 3477609   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/16

Waislamu Uingereza
LONDON (IQNA) - 'Siku ya Ustawi wa Jamii' itafanyika katika Msikiti wa Madina huko Blackburn nchini Uingereza, ikilenga kuongeza uelewa wa hali mbalimbali za kiafya na saratani, huku pia ikichangisha fedha kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi nchini Morocco.
Habari ID: 3477603   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/15

Uchambuzi
TEHRAN (IQNA)- Miaka 22 imepita tangu baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11, 2001 katika miji ya New York na Washington, tukio ambalo liliathiri sio Marekani pekee, bali karibu dunia nzima.
Habari ID: 3477585   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/11

Waislamu Uingereza
LONDON (IQNA) - Kampeni iliyopewa jina la "Tembelea Msikiti Wangu" ilizinduliwa Jumatatu kwa mwaka wake wa nane nchini Uingereza.
Habari ID: 3477551   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/05

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Kongamano kuu la Waislamu huko Chicago, Marekani limekamilika Jumatatu baada ya siku tatu za shughuli.
Habari ID: 3477545   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/04

Chuki dhidi ya Uislamu
GENEVA (IQNA) - Msemaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu (OHCHR) amelaani uamuzi wa Ufaransa wa kuwapiga marufuku wanafunzi Waislamu kuvaa abaya.
Habari ID: 3477526   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/31

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Adhana, mwito wa Kiislamu wa Sala, unaweza kutangazwa kwa vipaza Saudi katika Jiji la New York kwa nyakati maalumu kila Ijumaa na wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3477525   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/31

Hali ya Waislamu India
UTTAR PRADESH (IQNA) - India mnamo Jumatatu ilifunga shule katika jimbo la kaskazini mwa India la Uttar Pradesh baada ya mwalimu wake kuwataka wanafunzi kumpiga vibao mwanafunzi mwenzao Mwislamu.
Habari ID: 3477516   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/29

Chuki dhidi ya Waislamu
WASHINGTON, DC (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Marekani na Kiislamu (CAIR) limelaani uamuzi wa serikali ya Ufaransa wa kupiga marufuku wanafunzi Waislamu kuvaa Abaya.
Habari ID: 3477513   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/29

Waislamu Australia
CANBERRA (IQNA) – Sajili ya Vitendo vya Chuki Dhidi ya Uislamu Australia (IRA) imepongeza marufuku ya udhalilishaji kidini huko New South Wales.
Habari ID: 3477503   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/27

Chuki dhidi ya Waislamu
DUBLIN (IQNA) - Polisi huko Belfast wanachukulia uwekaji wa bendera kadhaa za Wnazi karibu na msikiti kuwa ni "uhalifu wa chuki unaochochewa na ubaguzi wa rangi".
Habari ID: 3477489   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Utafiti wa matatizo yanayowasibu Waislamu wa Marekani umezinduliwa na Baraza la Mahusiano ya Kiislamu na Marekani (CAIR).
Habari ID: 3477488   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24

Waislamu India
NEW DelHI (IQNA) – Mwanamke Mwislamu alikabiliwa na ubaguzi katika shule moja huko Tamil Nadu, India, alipotakiwa kuvua hijabu yake wakati wa mtihani.
Habari ID: 3477480   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/22

Waislamu China
JEDDAH (IQNA) – Ujumbe wa wawakilishi 25 kutoka Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) uliwasili China Alhamisi kujadili uhusiano wa pande mbili na hadhi ya jamii ya Waislamu nchini humo, OIC ilisema katika taarifa yake.
Habari ID: 3477454   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/18

Diplomasia ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa Kiislamu kutoka Nigeria wamewasili nchi jirani Niger pamoja ikiwa ni sehemu ya juhudi za kidiplomasia za kurejesha amani katika nchi hiyo ya Magharibi mwa Afrika.
Habari ID: 3477431   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/13

Waislamu Marekani
WASHIGNTON, DC (IQNA) - Mwanamume mmoja ameshtakiwa kwa uhalifu wa chuki baada ya kushambulia kundi la Waislamu katika bustani moja huko California, Marekani siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3477416   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/11