Waislamu Afrika
TEHRAN (IQNA)- Idadi kubwa ya Waislamu waliyoyakimbia makazi yao katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na ghasia na machafuko, wanataabika na kuteseka katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476791 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/31
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Wauguzi kadhaa wasio Waislamu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wanafunga kula na kunywa wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa vile wanataka kuonyesha mshikamano na wenzao Waislamu katika mwezi huu.
Habari ID: 3476785 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30
Chuki dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja lisilo la kiserikali imeripoti kuwa, wanawake Waislamu wanaovaa vazi la staha la Hijabu nchini Austria wanakabiliwa ubaguzi na mashambulio ya wenye chuki dhidi ya Uislamu ikilinganishwa katika nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3476783 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30
Uhalifu
TEHRAN (IQNA) - Watu wawili wameuawa katika shambulio la kudunga visu kwenye Kituo cha Waislamu cha Ismaili katika jiji kuu wa Ureno, Lisbon.
Habari ID: 3476781 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/29
Ukarimu katika Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimezindua kampeni ya ukarimu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani yenye lengo la kutoa msaada wa milo bilioni moja kwa wale wanaohitaji kote kote duniani.
Habari ID: 3476770 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/27
Wanamichezo Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Mchezaji soka maarufu wa Bosnia na Herzegovina Anel Ahmedhodzic ameusifu mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa ni mwezi wa kumwabudu Mwenyezi Mungu na kuleta jamii pamoja.
Habari ID: 3476768 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/27
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) nchini Libya imezindua Mus’haf (nakala ya Qur’ani Tukufu) iliyochapishwa na Shirika la Wakfu la nchi hiyo.
Habari ID: 3476734 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/20
Wanamichezo Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Mchezaji chipukizi wa akademia ya Soka ya klabu maarufu ya Manchester United nchini Uingereza amewavutia wengi baada ya klipu yake akiwa anasema Qur'ani Tukufu kuenea mitandaoni. Katika kilipu iliyosambazwa na kaka yake, Amir Ibragimov mwenye umri wa miaka 15 anaonekana akisoma sehemu ya Surah Al-Furqan ndani ya Kituo cha Trafford mjini Manchester nchini Uingereza
Habari ID: 3476715 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/16
Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA) – Tukio la kuchangisha fedha kusaidia kujenga msikiti mpya wa Blackburn nchini Uingereza limefanikiwa sana baada ya wafadhili kuahidi kwa ukarimu £126,000 kusaidia mradi huo.
Habari ID: 3476687 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/10
Chuki dhidi ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Mwanamume mmoja Mwislamu mwenye umri wa miaka 56 aliripotiwa kuuawa na genge la watu wenye chuki siku ya Jumatano kwa tuhuma kwamba alikuwa amebeba nyama ya ng'ombe katika jimbo la Bihar nchini India.
Habari ID: 3476686 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/10
Waislamu Warohingya
TEHRAN (IQNA) -Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) na wafadhili wanaitaka jumuiya ya kimataifa kuongeza juhudi kwa ajili ya msaada endelevu wa kifedha na masuluhisho kwa wakimbizi wa Rohingya na jamii za Bangladesh zinazowahifadhi huku hali mbaya ikiingia mwaka wake wa sita.
Habari ID: 3476683 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/09
Mfumo wa Fedha wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kampuni mpya ilizinduliwa nchini Tanzania ili kushughulikia udalali wa Hatifungani (Dhamana za muda mrefu) Kiislamu na kutoa huduma za ushauri wa uwekezaji kuhusiana na bidhaa zinazotii sheria za Kiislamu
Habari ID: 3476665 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/06
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mkongwe zaidi huko Victoria, Australia, ulikaribisha wakazi wasiokuwa Waislamu wa Bonde la Goulburn katika mpango wake wa mara ya kwanza ya "Mmilango ya Wazi" leo Machi 5.
Habari ID: 3476662 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05
Taazia
TEHRAN (IQNA) – Kamal al-Hilbawi, mwanafikra wa Kiislamu wa Misri aliyeaga dunia mapema wiki hii, alikuwa muungaji mkono wa kweli wa Mapinduzi ya Kiislamu na aliupinga vikali utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3476659 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05
Waislamu Denmark
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Denmark inasema haitaunga mkono hoja inayotaka kupiga marufuku wanafunzi na wafanyakazi kuvaa hijabu katika shule za msingi.
Habari ID: 3476651 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/03
Waislamu Singapore
TEHRAN (IQNA) – Idadi ya Waislamu kutoka Singapore wanaofanya ibada ya Hija ndogo ya Umrah imeongezeka kwa asilimia 45 ikilinganishwa na enzi ya kabla ya janga la corona.
Habari ID: 3476647 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/02
Wanaharakati wafichua
TEHRAN (IQNA)-Wanaharakati wameshutumu Kanisa Kikatoliki huko Cordoba, Uhispania, kwa kuharibu na kupotosha historia ya Kiislamu katika eneo hilo.
Habari ID: 3476644 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/02
Uislamu unaenea
TEHRAN (IQNA) – Padre Hilarion Heagy, padre mashuhuri wa Kanisa Katoliki la Mashariki lenye makazi yake Marekani amesilimu, akielezea uamuzi wake kama "kurejea katika Uislamu" na kwamba hatua yake ilikuwa "sawa na kurudi nyumbani."
Habari ID: 3476641 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/28
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Baraza la Dunia la Ahl-ul-Bayt (AS) alisisitiza haja ya kuandaa vikao vya Qur’ani katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Ahl-ul-Bayt (AS) katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476638 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/28
Waislamu Australia
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Waislamu wa Australia imezindua kampeni ya uchangiaji damu katika kile inachotumai itakuwa mojawapo ya misukumo mikubwa ya umwagaji damu wa kidini nchini humo.
Habari ID: 3476618 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/24