Chuki dhidi ya Waislamu
WASHINGTON, DC (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Marekani na Kiislamu (CAIR) limelaani uamuzi wa serikali ya Ufaransa wa kupiga marufuku wanafunzi Waislamu kuvaa Abaya.
Habari ID: 3477513 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/29
Waislamu Australia
CANBERRA (IQNA) – Sajili ya Vitendo vya Chuki Dhidi ya Uislamu Australia (IRA) imepongeza marufuku ya udhalilishaji kidini huko New South Wales.
Habari ID: 3477503 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/27
Chuki dhidi ya Waislamu
DUBLIN (IQNA) - Polisi huko Belfast wanachukulia uwekaji wa bendera kadhaa za Wnazi karibu na msikiti kuwa ni "uhalifu wa chuki unaochochewa na ubaguzi wa rangi".
Habari ID: 3477489 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24
Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Utafiti wa matatizo yanayowasibu Waislamu wa Marekani umezinduliwa na Baraza la Mahusiano ya Kiislamu na Marekani (CAIR).
Habari ID: 3477488 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24
Waislamu India
NEW DelHI (IQNA) – Mwanamke Mwislamu alikabiliwa na ubaguzi katika shule moja huko Tamil Nadu, India, alipotakiwa kuvua hijabu yake wakati wa mtihani.
Habari ID: 3477480 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/22
Waislamu China
JEDDAH (IQNA) – Ujumbe wa wawakilishi 25 kutoka Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) uliwasili China Alhamisi kujadili uhusiano wa pande mbili na hadhi ya jamii ya Waislamu nchini humo, OIC ilisema katika taarifa yake.
Habari ID: 3477454 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/18
Diplomasia ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa Kiislamu kutoka Nigeria wamewasili nchi jirani Niger pamoja ikiwa ni sehemu ya juhudi za kidiplomasia za kurejesha amani katika nchi hiyo ya Magharibi mwa Afrika.
Habari ID: 3477431 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/13
Waislamu Marekani
WASHIGNTON, DC (IQNA) - Mwanamume mmoja ameshtakiwa kwa uhalifu wa chuki baada ya kushambulia kundi la Waislamu katika bustani moja huko California, Marekani siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3477416 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/11
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Ongezeko la mashambulizi dhidi ya misikiti katika nchi za Magharibi hususan Ujerumani na barua za vitisho zinazotumwa kwa Waislamu vinazusha hofu na mfadhaiko katika jamii ya wafuasi wa dini hiyo.
Habari ID: 3477410 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/10
Waislamu India
NUH (IQNA) - Mahakama ya India imeuliza kama ubomoaji wa nyumba na biashara za wakazi hasa Waislamu katika jimbo la kaskazini la Haryana ni "zoezi la maangamizi ya kimbari".
Habari ID: 3477407 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/09
Hali ya Waislamu India
New Delhi (IQNA) - Misikiti mingi katika kitovu muhimu cha biashara nje kidogo ya mji mkuu wa India, New Delhi ilifungwa kwa sala ya Ijumaa baada ya kifo cha watu sita wakati Wahindu wenye itikadi kali waliposhambulia misikiti na mali za Waislamu.
Habari ID: 3477390 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/06
Chuki dhidi ya Uislamu
BERLIN (IQNA) - Msikiti mmoja nchini Ujerumani ulipokea barua ya vitisho kutoka kwa kundi la Wanazi mamboleo siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477384 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/05
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
BELGRADE (IQNA) – Sheikh Bayram Ayati, mtaalamu mashuhuri wa Qur’ani Tukufu katika nchi za Balkan amefariki dunia siku ya Jumatano.
Habari ID: 3477380 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04
Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Des Moines kinafanya maandalizi ya kupata makaburi yake, kuashiria hatua muhimu katika kujitolea kwao kudumisha mila za Kiislamu na kupunguza mzigo wa kifedha kwa familia zilizofiwa.
Habari ID: 3477377 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04
Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Naibu Imamu wa Sala ya jamaa ameuawa baada ya kundi la Wahindu wenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia kuufyatulia risasi na kuuchoma moto msikiti katika kitongoji cha mji mkuu wa India, New Delhi, saa chache baada ya ghasia mbaya za kijamii zilizozuka katika wilaya jirani.
Habari ID: 3477368 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/01
Waislamu Uingereza
LONDON (IQNA) – Masjid E Saliheen, msikiti wa Blackburn, utaandaa siku ya tafrija na kufurahisha familia wikendi hii ili kusaidia kuchangisha fedha za kuboresha vifaa vya mazishi.
Habari ID: 3477301 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/18
Chuki dhidi ya Waislamu
HELSINKI (IQNA) – Mashirika ya Kiislamu Ufini (Finland) yameihimizwa serikali ya nchi hiyo kuchukua hatua kali za "kutovumilia" ubaguzi wa rangi.
Habari ID: 3477300 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/18
Chuki dhidi ya Uislamu
ISLAMABAD (IQNA) - Afisa mmoja wa Pakistani alitoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuhakikisha sheria dhidi ya kufuru na kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu zinapitishwa katika nchi zao.
Habari ID: 3477265 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/10
Mazungumzo baina ya dini
Msikiti wa Jamia katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi hivi karibuni umeandaa siku maalumu ya kuwakaribisha wasiokuwa Waislamu, hasa Wakristo nchini humo, ndani ya msikiti huo ili waweze kujifunza kuhusu Uislamu na Waislamu na kuondoa fikra potovu zilizopo.
Habari ID: 3477106 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/06
Uislamu Brazil
Waziri wa Utalii wa Brazil Daniela Carneiro ametembelea maonyesho ya Qur'ani Tukufu yanayoendelea katika nchi hiyo ya Amerika Kusini.
Habari ID: 3477097 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/04