waislamu - Ukurasa 4

IQNA

IQNA – Uchunguzi unaendelea mjini Mississauga, Kanada baada ya mtu mmoja kuharibu msikiti mapema mwezi huu, huku polisi wakisema ni mapema mno kusema iwapo tukio hilo lilichochewa na chuki.
Habari ID: 3481157   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/30

IQNA – Shule ya Upili ya Kiislamu ya Alaeddin huko Pristina, mji mkuu wa Kosovo, imekaribisha mashindano makubwa ya mwaka ya sayansi ya dini hivi karibuni.
Habari ID: 3481145   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/27

IQNA – Mkutano wa 62 wa Mwaka wa Jumuiya ya Kiislamu ya Amerika Kaskazini (ISNA) utaanza huko Rosemont, jimbo la Illinois, Marekani, Ijumaa hii.
Habari ID: 3481144   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/27

IQNA – Watu katika miji na miji midogo kote Australia walijitokeza kwa wingi Jumapili kuonyesha uungaji mkono wao wa dhati kwa Palestina na kulaani ukatili wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3481129   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24

IQNA – Huko Cedar Rapids, Iowa, msikiti wa mkongwe zaidi nchini Marekani, ambao ni jengo dogo jeupe la mbao, ni ushahidi wa kimya wa historia ndefu ya Waislamu wa Marekani.
Habari ID: 3481128   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24

IQNA – Mwanazuoni kutoka Iran amesisitiza mafanikio ya kihistoria yaliyopatikana na Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) kwa kuunda Umma mmoja ulioshikamana, kutoka jamii za kikabila zilizokuwa zikitumbukia katika migawanyiko na mifarakano.
Habari ID: 3481122   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22

IQNA – Pendekezo la kutangaza Adhana mara moja kwa wiki kutoka Msikiti wa Lakemba limekataliwa na baraza la eneo hilo, lakini viongozi wa jamii wamesema wamedhamiria kuendelea kutafuta suluhisho la mbele.
Habari ID: 3481077   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/13

IQNA – Mashirika 14 ya Kiislamu nchini Uholanzi yamewasilisha malalamiko ya jinai dhidi ya mwanasiasa wa mrengo mkali wa kulia na anayepinga Uislamu, Geert Wilders.
Habari ID: 3481076   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/12

IQNA – Mahakama moja nchini Uholanzi imebaini kuwa halmashauri ya jiji la Veenendaal ilifanya upelelezi kinyume cha sheria dhidi ya taasisi ya Kiislamu ya Taubah na msikiti wake bila ridhaa yao.
Habari ID: 3481030   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/02

IQNA – Baraza Kuu la Waislamu wa Kanada (NCCM) limekaribisha kwa mikono miwili uamuzi wa serikali ya Ottawa wa kulitambua rasmi Taifa la Palestina mwezi Septemba, likiitaja hatua hiyo kuwa ya kihistoria na muhimu katika safari ya haki.
Habari ID: 3481026   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/01

IQNA – Polisi katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen, wameanzisha uchunguzi kuhusiana na shambulio lililofanywa na kundi la vijana wa mrengo mkali dhidi ya Msikiti wa Imam Ali (AS).
Habari ID: 3480982   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/22

IQNA – Msahafu au nakala adimu ya Qur’an Tukufu iliyoandikwa kwa mkono juu ya kitambaa inatazamiwa kutolewa rasmi kama zawadi kutoka India kwa Saudi Arabia, kwa ajili ya kuonyeshwa katika Jumba la Makumbusho la Qur’an lililo karibu na Msikiti wa Mtume, Al Masjid an Nabawi (SAW) huko Madina.
Habari ID: 3480980   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/22

IQNA-Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali mauaji ya kiongozi maarufu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia, Sheikh Rasoul Shahoud, aliyeuawa katika shambulizi lililotokea katika mkoa wa Homs, Syria ya kati.
Habari ID: 3480939   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/13

IQNA – Maelfu ya watu wamekusanyika Srebrenica siku ya Alhamisi kuadhimisha miaka 30 tangu mauaji ya kimbari ya mwaka 1995, ambapo miili ya wahanga saba waliotambuliwa hivi karibuni imezikwa katika Makaburi ya Ukumbusho ya Potočari.
Habari ID: 3480933   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12

IQNA-Miaka ishirini baada ya mashambulizi ya 7/7 mjini London, Waislamu wa Uingereza bado wanahisi athari za kihisia na kijamii.
Habari ID: 3480910   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/07

IQNA – Nchi za Afrika zinaendelea kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wasafiri Waislamu, huku vivutio vya nchi za Magharibi vikizidi kupoteza mvuto wao kwa watalii hao.
Habari ID: 3480872   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/30

IQNA – Wabunge wote Waislamu wa Bunge la Marekani wametoa taarifa ya pamoja kulaani mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu yaliyomlenga Zohran Mamdani, mgombea wa Umeya wa Jiji la New York, ambayo yametokea kutoka kwa wanasiasa wa chama tawala cha Warepublican na hata baadhi ya Wademocrat.
Habari ID: 3480866   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/28

IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu na Marekani (CAIR) limemtaja mbunge katika Bunge la Marekani Randy Fine (R-FL) kuwa “mwenye msimamo mkali wa chuki dhidi ya Waislamu”, likimjumuisha katika orodha yake ya watu wenye chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), kutokana na kile ilichokiita rekodi ya muda mrefu ya matamshi ya uchochezi dhidi ya Waislamu na Wapalestina.
Habari ID: 3480821   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/11

IQNA – Maelfu ya waumini walikusanyika katika Msikiti wa Kati huko Glasgow, Scotland, kwa sala maalum kuadhimisha Idul Adha.
Habari ID: 3480805   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/08

IQNA – Baraza la Kiislamu la Ufaransa (CFCM) limeitaka Ufaransa na Umoja wa Ulaya kuitambua rasmi Palestina kama nchi huru na kusitisha makubaliano yao ya kisiasa na kiuchumi na utawala wa Israel kutokana na jinai za utawala huo huko Gaza.
Habari ID: 3480716   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21