Umoja wa Kiislamu
IQNA - Rais wa Baraza la Ushauri la Mashirika ya Kiislamu ya Malaysia (MAPIM) alitoa wito kwa nchi za Kiislamu kutuma majeshi yao kukabiliana na ukatili wa utawala wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3479487 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/25
Wiki ya Umoja wa Kiislamu
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, adui analeta mgawanyiko na mifarakano kati yetu na kubainisha kwamba, Waisraeli milioni 2 au 3 wanawaangamiza Waislamu, wanaua wanawake na watoto, wazee na vijana na wagonjwa, wanapiga mabomu hospitali na misikiti na sisi tumekaa tu na kutazama, kwa sababu hatuna umoja na ndio maana Israel inathubutu kufanya jinai hizi.
Habari ID: 3479453 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/19
Uislamu na Jamii
IQNA - Magereza yote nchini Kenya yameagizwa kutenga ardhi kwa ajili ya ujenzi wa misikiti na makanisa.
Habari ID: 3479403 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09
Watetezi wa Palestina
IQNA - Mamlaka za Ufaransa zilimkamata na kisha kumwachilia muuguzi Imane Maarifi, ambaye alitumia siku 15 kujitolea kama tabibu katika Ukanda wa Gaza wakati huu wa vita vya mauaji ya kimbari vya ya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3479394 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07
Maelewano ya kidini
IQNA - Wakati wa safari yake katika nchi kubwa zaidi ya Waislamu duniani, Papa Francis alitembelea Msikiti wa Istighlal katika mji mkuu wa Indonesia wa Jakarta siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3479389 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/06
Wanariadha Waislamu
IQNA – Mwanamke Muirani Sareh Javanmardi wa Iran ameubusu Msahafu (nakala ya Qur'ani Tukufu) baada ya kushinda medali ya dhahabu katika mashindano ya Olimpiki ya Walemavu 2024 huko Paris, hatua ambayo imewavutia Waislamu duniani kote na kupongezwa na taasisi kuu ya Qur'ani.
Habari ID: 3479365 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/01
Waislamu Uingereza
IQNA - Takriban mashirika 80 ya Kiislamu na viongozi wa jamii za Waislamu wametoa wito kwa serikali ya Uingereza kuchukua hatua madhubuti ili kukabiliana na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3479352 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30
Arbaeen
IQNA - Mwakilishi wa Jimbo la Utah nchini Marekani Trevor Lee amehimizwa kukutana na Waislamu wa jimbo hilo baada ya video aliyochapisha kusababisha wimbi la chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3479351 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30
Waislamu Marekani
IQNA - Polisi wa Marekani mjini New York (NYPD) walirarua hijabu za wanawake wengi wa Kiislamu waliokuwa wakiandamana nje ya mkutano wa kukusanya fedha wa Kamati ya Kitaifa ya chama cha Democrat wiki iliyopita.
Habari ID: 3479317 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/23
Waislamu Marekani
IQNA – Baada ya Kongamano la Kitaifa la Chama cha Democrat (DNC) nchini Marekani kukataa kumshirikisha mzungumzaji Mpalestina-Mmarekani katika mkutano wa Chicago, kundi la Waislamu Wanawake Kwa Ajili ya Kamala Harris limetangaza kutumuunga mkono mgombea huyo wa kiti cha rais.
Habari ID: 3479312 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/23
Waislamu Uingereza
IQNA -Kuna wasiwasi unaoongezeka miongoni mwa Waislamu wa Uingereza kuhusu usalama wao baada ya ghasia za hivi majuzi nchini humo.
Habari ID: 3479295 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/18
Dini
IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei amesisitiza jinsi Waislamu wanavyomheshimu Nabi Isa au Yesu – Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake-(AS), huku akikemea kudhalilishwa kwa mtume huyo Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479204 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/30
Waislamu Ujerumani
IQNA - Shirika moja lisilo la kiserikali la kimataifa lenye makao yake makuu nchini Iran limelaani vikali marufuku ya Ujerumani dhidi ya Kituo cha Kiislamu cha Hamburg (IZH) na kuitaja hatua hiyo kama ukiukaji wa wazi wa mikataba ya kimataifa, pamoja na haki za binadamu na uhuru wa dini, kujieleza na kukusanyika.
Habari ID: 3479191 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27
Waislamu Marekani
IQNA - Mwanaume mmoja katika jimbo la Carolina Kaskazini nchini Markani amekamatwa na kushtakiwa kwa kuvamia na kuharibu msikiti Jumapili jioni.
Habari ID: 3479174 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/23
IQNA - Milio ya risasi karibu na msikiti mmoja nchini Oman kuelekea mkusanyiko wa waombolezaji wa Kishia imesababisha vifo vya takriban watu wanne na kuwaacha wengine kadhaa kujeruhiwa.
Habari ID: 3479135 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/16
IQNA - Vikosi vya utawala haramu wa Israel vimefunga nje ya uwanja wa Msikiti wa Ibrahimi huko al-Khalil, unaokaliwa kwa mabavu na Israel huko Palestina Ukingo wa Magharibi, hatua ambayo maafisa wa Palestina wanasema ni jaribio la kubadilisha sifa za eneo hilo.
Habari ID: 3479108 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/12
chuki dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani
Umoja wa Uturuki na Kiislamu kwa Masuala ya Kidini (DİTİB) umeelezea wasiwasi wake mkubwa juu ya kuongezeka kwa visa vya chuki dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani.
Habari ID: 3479089 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/08
Ujerumani Chuki Dhidi ya Uislamu
Kulingana na shirika lisilo la kiserikali nchini Ujerumani, chuki dhidi ya Uislamu imeongezeka kwa asilimia 140 mwaka huu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3479019 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/27
Waislamu India
IQNA - Matokeo ya uchaguzi mkuu wa India yanaonyesha kuwa muungano wa Waziri Mkuu Narendra Modi umepata viti vichache sana kuliko ilivyotarajiwa.
Habari ID: 3478944 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/07
Utamaduni
IQNA - Kundi la maimamu wa Swala ya Ijumaa na wanaharakati vijana wa kitamaduni kutoka Georgia walifanya ziara katika kaburi la Imam Ridha (AS) katika mji wa kaskazini mashariki mwa Iran wa Mashhad na kufanya mazungumzo na mkuu wa masuala ya kimataifa wa idara ya usimamizi wa eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3478908 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/31