iqna

IQNA

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA)- Mabinti wa mwanaharakati wa haki za kiraia Muislamu mweusi, Malcolm X, wamesema wataishtaki polisi ya jiji la New York na Shirika Kuu la Kijasusi Marekani, CIA, na Idara ya Upelelezi ya Marekani, FBI, kwa kuhusika na mauaji ya baba yao, hapo 1965.
Habari ID: 3476609    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/22

Waislamu Warohingya
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar ya Misri kimeonya kuhusu mgogoro wa kibinadamu unaotarajiwa kuwakumba wakimbizi wa jamii ya Rohingya iwapo misaada itapungua.
Habari ID: 3476607    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/22

Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Mazungumzo ya kidini kati ya Uislamu na Ukristo yanapangwa kufanyika nchini Zimbabwe wiki ijayo.
Habari ID: 3476584    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/19

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Polisi katika mji mkuu wa Uswidi (Sweden) wa Stockholm wamekataa ombi la maandamano ya kuchoma nakala ya Qur'ani Tukufu mbele ya ubalozi wa Iraq.
Habari ID: 3476575    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Afisa mwandamizi wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesema uungaji mkono kutoka kwa Waislamu kote ulimwenguni kwa Msikiti wa Al-Aqsa, al-Quds (Jerusalem) na Palestina unatokana na imani zao za kidini.
Habari ID: 3476558    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/13

Sura za Qur’ani Tukufu /61
TEHRAN (IQNA) – Katika kila zama katika historia ya wanadamu, waumini wamejitahidi kulinda dini na kukabiliana na ukafiri. Hili ndilo lililofanywa na wanafunzi waaminifu wa Nabii Isa au Yesu –Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe JuuYake- wanaojulikana kama Hawariyun.
Habari ID: 3476549    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/12

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wanaharakati wa Qur'ani Tukufu kutoka Iran na baadhi ya nchi kadhaa katika taarifa yao wamelaani vitendo vya hivi majuzi vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu barani Ulaya, wakizitaka serikali za nchi za Kiislamu kuchukua hatua madhubuti dhidi ya hatua hizo za kufuru.
Habari ID: 3476532    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/08

Chuki dhidi ya Uislamu Marekani
TEHRAN (IQNA)- Ilhan Omar, Mbunge Mwislamu wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani anayewakilisha jimbo la Minnesota amesema kuwa, baadhi ya wajumbe wa chama cha Republican hawataki kuona kunakuweko na Wabunge Waislamu katika Kongresi ya nchi hiyo.
Habari ID: 3476497    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01

Jinai dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 87 wameuawa katika shambulizi la kujilipua kwa bomu lililotokea katika msikiti wa mji wa Peshawar huko kaskazini magharibi mwa Pakistan.
Habari ID: 3476489    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/30

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia nchini wa Bahrain Sheikh Isa Qassim amelaani vikali kitendo cha kuchomwa moto Qur'ani Tukufu hivi karibuni katika nchi za Ulaya.
Habari ID: 3476466    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/26

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejiunga na ulimwengu wa Kiislamu katika kulaani vikali kitendo cha kuchomwa moto nakala ya Qur'ani Tukufu nchini Sweden (Usiwidi).
Habari ID: 3476444    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/22

Hali ya Waislamu Saudia
TEHRAN (IQNA) – Matumizi ya vipaza sauti katika misikiti kote Saudi Arabia yatawekewa vikwazo, kulingana na Wizara ya Masuala ya Kiislamu, Wito na Mwongozo.
Habari ID: 3476436    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/20

Waislamu India
TEHRAN (IQNA) – Mamlaka za India zimebomoa msikiti wa karne ya 16 huko Uttar Pradesh kama sehemu ya mradi wa kupanua barabara.
Habari ID: 3476418    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/17

Uislamu Bangladesh
TEHRAN (IQNA) – Waziri Mkuu wa Bangladesh Sheikh Hasina aliuelezea Uislamu kuwa ni dini ya amani, udugu na urafiki.
Habari ID: 3476416    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/17

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) – Mwandishi wa riwaya wa Ufaransa mwenye utata Michel Houellebecq anashtakiwa na Muungano wa Misikiti nchini Ufaransa kwa ubaguzi, matamshi ya chuki na kuchochea ghasia katika matamshi wakati wa mahojiano.
Habari ID: 3476404    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 23 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum yalimalizika katika Umoja wa Falme za Kiarabu siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3476401    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Waislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Waislamu nchini Uholanzi imezindua makaburi makubwa zaidi ya Waislamu wa Ulaya Magharibi nchini Uholanzi.
Habari ID: 3476400    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Waislamu na Siasa Kenya
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya amemuonya mwanasiasa maarufu Muislamu nchini humo kuhusu kuutumia Msikiti kama jukwaa la kisiasa.
Habari ID: 3476376    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/08

Waislamu Pakistan
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Pakistan itafuatilia tarjuma za Qur'ani Tukufu zilizo katika mitandao ya kijamii nchini humo ili kuhakikisha kuwa ni shahihi kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3476362    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06

Waislamu Afghanistan
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi mkuu wa Waislamu wa Kishia nchini Iraq Ayatullah Seyed Ali al-Sistani amehimiza jumuiya ya kimataifa na Waislamu kote ulimwenguni kuunga mkono watu "wanaoteseka" nchini Afghanistan.
Habari ID: 3476357    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/04