TEHRAN (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Marekani na Uislamu (CAIR) lilitoa ripoti Jumanne iliyoangazia matukio ya kitaifa ya malalamiko ya haki za kiraia yaliyofanywa na Waislamu Wamarekani mwaka 2022 ambayo yalionyesha kupungua kwa 23%.
Habari ID: 3476861 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/13
Waislamu katika Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu la Ethiopia limefanya hafla kubwa zaidi ya Iftar au Futari katika uwanja wa Al-Thaura mjini Addis Ababa, mji mkuu wa nchi hiyo, wakati huu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476844 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/10
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Biashara wa Kanada, Mary Ng amelaani shambulio la chuki dhidi ya Uislamu lililolenga msikiti mmoja eneo la Markham, Ontario wakati mtu mmoja alipovunjia heshima nakala ya Qur'ani Tukufu na kujaribu kuwashambulia waumini kwa gari.
Habari ID: 3476842 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/10
Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA) - Mamia walikusanyika Ijumaa kwenye Ukumbi wa kifahari wa Royal Albert Hall huko London kama sehemu ya futari ya wazi - tukio la kijamii wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476841 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/09
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Marefa nchini Ufaransa wameamuriwa na shirikisho la soka la nchi hiyo kutositisha mechi ili kuwaruhusu wachezaji Waislamu kufuturu katika mwezi wa Ramadhani.
Habari ID: 3476794 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/01
Waislamu Afrika
TEHRAN (IQNA)- Idadi kubwa ya Waislamu waliyoyakimbia makazi yao katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na ghasia na machafuko, wanataabika na kuteseka katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476791 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/31
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Wauguzi kadhaa wasio Waislamu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wanafunga kula na kunywa wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa vile wanataka kuonyesha mshikamano na wenzao Waislamu katika mwezi huu.
Habari ID: 3476785 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30
Chuki dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja lisilo la kiserikali imeripoti kuwa, wanawake Waislamu wanaovaa vazi la staha la Hijabu nchini Austria wanakabiliwa ubaguzi na mashambulio ya wenye chuki dhidi ya Uislamu ikilinganishwa katika nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3476783 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30
Uhalifu
TEHRAN (IQNA) - Watu wawili wameuawa katika shambulio la kudunga visu kwenye Kituo cha Waislamu cha Ismaili katika jiji kuu wa Ureno, Lisbon.
Habari ID: 3476781 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/29
Ukarimu katika Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimezindua kampeni ya ukarimu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani yenye lengo la kutoa msaada wa milo bilioni moja kwa wale wanaohitaji kote kote duniani.
Habari ID: 3476770 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/27
Wanamichezo Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Mchezaji soka maarufu wa Bosnia na Herzegovina Anel Ahmedhodzic ameusifu mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa ni mwezi wa kumwabudu Mwenyezi Mungu na kuleta jamii pamoja.
Habari ID: 3476768 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/27
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) nchini Libya imezindua Mus’haf (nakala ya Qur’ani Tukufu) iliyochapishwa na Shirika la Wakfu la nchi hiyo.
Habari ID: 3476734 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/20
Wanamichezo Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Mchezaji chipukizi wa akademia ya Soka ya klabu maarufu ya Manchester United nchini Uingereza amewavutia wengi baada ya klipu yake akiwa anasema Qur'ani Tukufu kuenea mitandaoni. Katika kilipu iliyosambazwa na kaka yake, Amir Ibragimov mwenye umri wa miaka 15 anaonekana akisoma sehemu ya Surah Al-Furqan ndani ya Kituo cha Trafford mjini Manchester nchini Uingereza
Habari ID: 3476715 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/16
Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA) – Tukio la kuchangisha fedha kusaidia kujenga msikiti mpya wa Blackburn nchini Uingereza limefanikiwa sana baada ya wafadhili kuahidi kwa ukarimu £126,000 kusaidia mradi huo.
Habari ID: 3476687 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/10
Chuki dhidi ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Mwanamume mmoja Mwislamu mwenye umri wa miaka 56 aliripotiwa kuuawa na genge la watu wenye chuki siku ya Jumatano kwa tuhuma kwamba alikuwa amebeba nyama ya ng'ombe katika jimbo la Bihar nchini India.
Habari ID: 3476686 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/10
Waislamu Warohingya
TEHRAN (IQNA) -Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) na wafadhili wanaitaka jumuiya ya kimataifa kuongeza juhudi kwa ajili ya msaada endelevu wa kifedha na masuluhisho kwa wakimbizi wa Rohingya na jamii za Bangladesh zinazowahifadhi huku hali mbaya ikiingia mwaka wake wa sita.
Habari ID: 3476683 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/09
Mfumo wa Fedha wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kampuni mpya ilizinduliwa nchini Tanzania ili kushughulikia udalali wa Hatifungani (Dhamana za muda mrefu) Kiislamu na kutoa huduma za ushauri wa uwekezaji kuhusiana na bidhaa zinazotii sheria za Kiislamu
Habari ID: 3476665 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/06
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mkongwe zaidi huko Victoria, Australia, ulikaribisha wakazi wasiokuwa Waislamu wa Bonde la Goulburn katika mpango wake wa mara ya kwanza ya "Mmilango ya Wazi" leo Machi 5.
Habari ID: 3476662 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05
Taazia
TEHRAN (IQNA) – Kamal al-Hilbawi, mwanafikra wa Kiislamu wa Misri aliyeaga dunia mapema wiki hii, alikuwa muungaji mkono wa kweli wa Mapinduzi ya Kiislamu na aliupinga vikali utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3476659 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05
Waislamu Denmark
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Denmark inasema haitaunga mkono hoja inayotaka kupiga marufuku wanafunzi na wafanyakazi kuvaa hijabu katika shule za msingi.
Habari ID: 3476651 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/03