iqna

IQNA

Istisqa
Sala ya mvua
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wa Ufaransa wameombea mvua wakati nchi hiyo, pamoja na mataifa mengine ya Ulaya, yakikumbwa na kile kilichotajwa kuwa ukame mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka 500.
Habari ID: 3475625    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/15

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Qatar imetangaza kuwa, Sala ya Istisqa yaani Swala ya Kuomba Mvua itaswaliwa nchini humo.
Habari ID: 3474479    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/27