IQNA: Mashindano ya 28 ya Qur'ani na Hadithi kwa ajili ya vijana wa nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi yameanza Februari 26 mjini Muscat, Oman.
Habari ID: 3470869 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/27
IQNA-Mashindano ya 28 ya Qur'ani Tukufu na Hadithi kwa ajili ya vijana katika Ghuba ya Uajemi yatafanyika Muscat, Oman baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3470829 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/02
Mashindano ya Qur’ani ya msimu wa joto yameanza mjini Bidiya nchini Oman.
Habari ID: 3470530 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/18
Mashindano ya 7 ya kirafiki ya Qur'ani baina ya majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufalme wa Oman yatafanyika hivi karibuni mjini Tehran.
Habari ID: 3470308 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/12
Mufti wa Tunisia Sheikh Hamda Saeed amewaomba radhi Watunisia baada ya kubaini kuwa alifanya kosa kwa kutangaza mapema siku kuu ya Idul Ftir.
Habari ID: 3330378 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/20