iqna

IQNA

IQNA: Mashindano ya 28 ya Qur'ani na Hadithi kwa ajili ya vijana wa nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi yameanza Februari 26 mjini Muscat, Oman.
Habari ID: 3470869    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/27

IQNA-Mashindano ya 28 ya Qur'ani Tukufu na Hadithi kwa ajili ya vijana katika Ghuba ya Uajemi yatafanyika Muscat, Oman baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3470829    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/02

Mashindano ya Qur’ani ya msimu wa joto yameanza mjini Bidiya nchini Oman.
Habari ID: 3470530    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/18

Mashindano ya 7 ya kirafiki ya Qur'ani baina ya majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufalme wa Oman yatafanyika hivi karibuni mjini Tehran.
Habari ID: 3470308    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/12

Mufti wa Tunisia Sheikh Hamda Saeed amewaomba radhi Watunisia baada ya kubaini kuwa alifanya kosa kwa kutangaza mapema siku kuu ya Idul Ftir.
Habari ID: 3330378    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/20